来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
mwanablogu wa kenya ken opalo alibainisha kwamba taarifa zinaoonesa kwamba marais wanaojaribu kuongeza kipindi cha urais wana nafasi kubwa ya kufanikiwa:
el bloguero keniano ken opalo expresó que los antecedentes sugieren que los presidentes que tratan de extender sus límites tienen más posibilidades de tener éxito:
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
wanablogu wanapokea shambulio kutoka kwa polisi wa mtandaoni, wanaojaribu kuingilia mawasiliano ya kila aliyeunga mkono #sidibouzid au #operationtunisia
los bloggers están bajo fuego de la ciberpolicía tunecina, están tratando de piratear a todos los que apoyaron #sidibouzid o a #operationtunisia
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
kama ilivyo kwa vyombo vingine vya habari na makundi ya haki za binadamu ulimwenguni, tuna hofu kuwa mashitaka haya ni jaribio la serikali ya morocco la kuwanyamazisha wote wanaojaribu kuhoji kuhusu sera na utendaji wa serikali.
como otros medios y grupos defensores de los derechos humanos en todo el mundo, tememos que este caso representa un intento del gobierno marroquí de silenciar a los detractores de sus políticas y prácticas.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
maoni mengi yamekuwa ni ya hofu juu ya wanafamilia walio kwenye maeneo ya nje ya mji mkuu, na ukosefu wa mawasiliano umeendelea kuwa suala gumu kwa ndugu wanaojaribu kuwasiliana na familia pamoja na marafiki katika sehemu ambazo nyaya za umeme na simu zimeathirika.
algunos usuarios como pablo gonzález carcey se ha ofrecido para llamar a familiares para aquellos como daniela alvarado quien no ha podido contactar a su hermano en chile. el mensaje es el siguiente: @danialvaradoa hice los llamados y tu familia esta bien!
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
anapendekeza vyanzo mbadala vya mtandaoni kwa minajili ya kuchunguza taarifa, ikiwa ni pamoja na elperiodistacivico.com, wakati huu ambao kuna upotoshwaji wa taarifa na propaganda zinawakwamisha wale wanaojaribu kuelewa hali halisi ya matukio yanayoendelea.
además, recomienda algunas fuentes alternativas de noticias en línea que se centran en la comprobación de los hechos, entre ellas elperiodistacivico.com, en un momento en el cual la desinformación y la propaganda confunden a quienes buscan entender los acontecimientos.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
baadhi ya watumiaji wa twita wanaripoti juu ya majengo, mitaa au taarifa nyingine za muhimu kwa wale wanaotafuta familia zao au wale wanaojaribu kusafiri ndani ya nchi hiyo. @yatalley anaandika kuwa barabara inayotoka mji mkuu, port au prince, kuelekea mji wa jacmel haipitiki.
¡por favor, pasen la voz! http://bit.ly/4temfx algunos usuarios de twitter están reportando acerca de edificios específicos, calles y otra información práctica para los que buscan a sus familiares o que intentan trasladarse por el país. @yatalley escribe que no se puede pasar por el camino desde la capital, puerto príncipe, al pueblo de jacmel:
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量: