来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
then the twelve called the multitude of the disciples unto them, and said, it is not reason that we should leave the word of god, and serve tables.
kwa hiyo, mitume kumi na wawili waliita jumuiya yote ya wanafunzi, wakasema, "si vizuri sisi tuache kulihubiri neno la mungu ili tushughulikie ugawaji wa mahitaji.
and then today, i saw him helping people move their sewing machines, their tables, their bags of stuff farther down on our road as the government came through with the bulldozer.
na hivi leo, nilimuona akiwasaidia watu kuhamisha cherehani, meza na mapakacha ya makabrasha yao kuyapeleka mbali zaidi hapa barabarani kwetu wakati serikali ilipokuwa inakuja na magari ya kubomoa.
forasmuch as ye are manifestly declared to be the epistle of christ ministered by us, written not with ink, but with the spirit of the living god; not in tables of stone, but in fleshy tables of the heart.
ni dhahiri kwamba ninyi ni barua ya kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa roho wa mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu.