来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
also, of the evidence of his existence are his showing you lightening which gives you fear and hope and his sending water down from the sky which revives the earth after its death.
na katika ishara zake hukuonyesheni umeme kwa kukutieni khofu na tamaa. na hukuteremshieni maji kutoka mbinguni, na kwa hayo huifufua ardhi baada ya kufa kwake.
that is a lightening granted you by your lord, and a mercy; and for him who commits aggression after that -- for him there awaits a painful chastisement.
huko ni kupunguziwa kuliko tokana na mola wenu mlezi, na ni rehema. na atakaye vuka mipaka baada ya haya, basi yeye atapata adhabu chungu.
and he sendeth down from the heaven mountains wherein is hail, then afflicteth therewith whomsoever he will, and averteth it from whomsoever he will: wellnigh the flash of his lightening taketh away the sights.
na huteremsha kutoka juu kwenye milima ya mawingu mvua ya mawe, akamsibu nayo amtakaye na akamuepusha nayo amtakaye. hukurubia mmetuko wa umeme wake kupofua macho.
like unto a rain--laden cloud from heaven, wherein are darknesses and thunder and lightening. they so put their fingers in their ears because of the thunder-claps, guarding against death, and allah is encompasser of the infidels.
au ni kama mvua kubwa itokayo mbinguni, ina giza na radi na umeme; wakawa wakitia vidole vyao masikioni mwao kwa ajili ya mingurumo, kwa kuogopa kufa. na mwenyezi mungu amewazunguka makafiri.