来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
alaa was detained after police stormed his house two days later and accused him of organizing the protest.
alaa alitiwa kizuizini baada ya polisi kuvamia nyumba yake siku mbili baadaye na kutuhumiwa kuandaa maandamano.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
the campaign is also seeking to inform and raise awareness on the issues and limitations of the current connectivity conditions.
kampeni hiyo ilitafuta pia kujulisha na kukuza uelewa wa masuala na vikwazo vinavyotokana na hali ya sasa ya mtandao.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
the party leading the protest states that the current administration has no intention of organizing elections this year and is just hanging on to their position of power.
chama kinachoongoza maandamano kinasema kwamba utawala uliopo hauna dhamira ya kuitisha uchaguzi mwaka huu na kwamba serikali imeng'ang'ania madarakani.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
according to news reports, the bloggers and journalists were also accused of organizing themselves clandestinely as the zone9 blogging collective, a puzzling charge, given the public nature of the zone9 blog and activities undertaken by the group.
kwa mujibu wa taarifa mpya za habari, wanablogu na waandishi hao wanatuhumiwa kujiunga kinyume na sheria kama muungano wa wanablogu wa zone9, shitaka la ajabu, kwa kuzingatia mwonekano wa wazi wa blogu ya zone9 na shughuli zinazoendeshwa na kikundi hicho.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
he has been detained since november 28, after being accused of organizing a protest in front of the shura council (the upper house of egypt's parliament) without obtaining legal permission.
amekuwa kizuizini tangu novemba 28, baada ya kutuhumiwa kuandaa maandamano mbele ya baraza la shura (bunge kuu nchini misri) bila kupata ruhusa kisheria.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
a comment left by nnokko johnson brings the obama speech to cameroon's door-steps by reminding the country's president, paul biya, who has been in power since 1982 and in 2008 oversaw the amendment of the constitution to cancel limitation of presidential terms:
maoni yaliyoachwa hapo na nnokko johnson yanaisogeza hotuba ya obama mlangoni mwa kameruni kwa kumkumbusha rais wa nchi hiyo, paul biya, ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1982 na mwaka 2008 alibadili katiba ili kuondoa ukomo wa vipindi vya rais kukaa madarakani:
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
一些相关性较低的人工翻译已被隐藏。
显示低相关性结果。