来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
and kill them wherever you confront them, and expel them from where they expelled you, for persecution is graver than killing.
na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. wala msipigane nao kwenye msikiti mtakatifu mpaka wakupigeni huko.
and slay them wherever you come upon them, and expel them from where they expelled you; persecution is more grievous than slaying.
na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. wala msipigane nao kwenye msikiti mtakatifu mpaka wakupigeni huko.
i will certainly forgive the sins of those who emigrated and were expelled from their homes, who suffered persecution in my cause, who fought and were killed.
basi walio hama, na walio tolewa makwao, na wakateswa katika njia yangu, na wakapigana, na wakauliwa, kwa yakini mimi nitawafutia makosa yao, na kwa yakini nitawaingiza katika mabustani yanayo pita mito kati yake.
and fight with them until there is no more persecution and religion should be only for allah; but if they desist, then surely allah sees what they do.
na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na dini yote iwe kwa ajili ya mwenyezi mungu. lakini wakiacha, basi hakika mwenyezi mungu anayaona wanayo yatenda.
and fight with them until there is no persecution, and religion should be only for allah, but if they desist, then there should be no hostility except against the oppressors.
na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na dini iwe ya mwenyezi mungu tu. na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.