来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
verily, you were (pretending to be) the mighty, the generous!
ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
this is the day of resurrection, but ye used not to know.
basi hii ndiyo siku ya kufufuliwa! lakini nyinyi mlikuwa hamuijui.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
did you think that we had created you for a playful purpose and that you were not to return to us?"
je! mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
for i determined not to know any thing among you, save jesus christ, and him crucified.
nilipokuwa kwenu niliamua kutojua chochote kile isipokuwa tu kumjua yesu kristo; naam, kristo aliyesulubiwa.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
the dwellers of the desert are the hardest in infidelity and hypocrisy and likeliest not to know the ordinances of that which allah hath sent down unto his apostle.
mabedui wamezidi sana katika ukafiri na unaafiki, na wameelekea zaidi kutojua mipaka ya aliyo yateremsha mwenyezi mungu juu ya mtume wake.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
the bedouins are stronger in disbelief and hypocrisy and more likely not to know the limits of what [laws] allah has revealed to his messenger.
mabedui wamezidi sana katika ukafiri na unaafiki, na wameelekea zaidi kutojua mipaka ya aliyo yateremsha mwenyezi mungu juu ya mtume wake.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
and those who have been vouchsafed knowledge and belief will say: assuredly ye have tarried according to the decree of allah until the day of upraising; so this is the day of upraising, but ye were wont not to know.
na walio pewa ilimu na imani watasema: hakika nyinyi mlikwisha kaa katika hukumu ya mwenyezi mungu mpaka siku ya kufufuliwa. basi hii ndiyo siku ya kufufuliwa!
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
the bedouins are more stubborn in unbelief and hypocrisy, and apter not to know the bounds of what god has sent down on his messenger; and god is all-knowing, all-wise.
mabedui wamezidi sana katika ukafiri na unaafiki, na wameelekea zaidi kutojua mipaka ya aliyo yateremsha mwenyezi mungu juu ya mtume wake. na mwenyezi mungu ni mjuzi mwenye hikima.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
(muhammad), say to those who say, 'god has commanded us not to believe any messenger unless he offers a burnt offering,' (muhammad) say, "messengers came to you before me with certain miracles and with that which you had asked for (burnt offering). why, then, did you slay them if you were true in your claim?"
walio sema: mwenyezi mungu ametuahidi tusimuamini mtume yeyote mpaka atuletee kafara inayo teketezwa na moto. waambie: walikujieni mitume kabla yangu kwa hoja zilizo wazi na kwa hayo mnayo sema, basi kwa nini mkawauwa ikiwa mlikuwa wakweli?
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式