来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
oh timoteo, guarda lo que se te ha encomendado, evitando las profanas y vanas palabrerías y los argumentos de la falsamente llamada ciencia
timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "elimu".
a timoteo, verdadero hijo en la fe: gracia, misericordia y paz, de parte de dios padre y de cristo jesús nuestro señor
nakuandikia timotheo mwanangu halisi katika imani. nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa mungu baba yetu na kristo yesu bwana wetu.
le acompañaron sópater hijo de pirro, de berea, los tesalonicenses aristarco y segundo, gayo de derbe, timoteo, y tíquico y trófimo de asia
sopatro, mwana wa pirho kutoka berea, aliandamana naye; pia aristarko na sekundo kutoka thesalonika, gayo kutoka derbe, timotheo, tukiko na trofimo wa mkoa wa asia.
los que conducían a pablo le llevaron hasta atenas; y después de recibir órdenes para silas y timoteo de que fuesen a reunirse con él lo más pronto posible, partieron de regreso
wale ndugu waliomsindikiza paulo walikwenda pamoja naye mpaka athene. kisha, wakarudi pamoja na maagizo kutoka kwa paulo kwamba sila na timotheo wamfuate upesi iwezekanavyo.
pero ahora timoteo ha vuelto de vosotros a nosotros y nos ha dado buenas noticias de vuestra fe y de vuestro amor, y de que siempre tenéis buenos recuerdos de nosotros, deseando vernos, tal como nosotros también a vosotros
sasa timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
pablo, apóstol de cristo jesús por la voluntad de dios, y el hermano timoteo; a la iglesia de dios que está en corinto, juntamente con todos los santos que están en toda acaya
mimi paulo, mtume wa kristo yesu kwa mapenzi ya mungu, na ndugu timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la mungu huko korintho, na watu wote wa mungu kila mahali katika akaya.
porque jesucristo, el hijo de dios, que ha sido predicado entre vosotros por nosotros (por mí, por silas y por timoteo), no fue "sí y no"; más bien, fue "sí" en él
maana kristo yesu, mwana wa mungu, ambaye mimi, silwano na timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa "ndiyo" na "siyo"; bali yeye daima ni "ndiyo" ya mungu.