Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
sky is the limit
anga ni kikomo
Last Update: 2023-10-17
Usage Frequency: 1
Quality:
the limit
mwingo
Last Update: 2020-09-19
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
with thy lord in the limit fixed therefor.
kwa mola wako mlezi ndio mwisho wake.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
unto thy lord is the knowledge of the limit fixed therefor.
kwa mola wako mlezi ndio mwisho wake.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
the eye did not turn aside, nor did it exceed the limit.
jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
(after they have crossed the limit of life allotted to them.)
lakini wataipata wapi kutoka huko mahala mbali?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
but let him not exceed the limit in slaying, for he will be helped.
lakini asipite mpaka katika kuuwa. kwani yeye anasaidiwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
when they crossed the limit of the prohibition, we made them turn into detested apes.
walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: kuweni manyani wa kudharauliwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
they call a lie something that is beyond the limit of their knowledge and whose interpretation has not yet been revealed.
bali wameyakanusha wasio yaelewa ilimu yake kabla hayajawajia maelezo yake.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
that is because they denied the signs of god and killed the prophets unjustly, and rebelled, and went beyond the limit.
hayo ni kwa sababu walikuwa wakizikataa ishara za mwenyezi mungu, na wakiwauwa manabii pasina haki; hayo ni kwa sababu waliasi na walikuwa wakiruka mipaka.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
these are the limits set by god.
hiyo ndiyo mipaka ya mwenyezi mungu, msiikiuke.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
but if anyone is forced by necessity, being neither disobedient nor exceeding the limit, then surely your lord is most forgiving and merciful.
lakini mwenye kushikwa na dharura, bila ya kutamani wala kupita mipaka, basi hakika mola wako mlezi ni mwenye kusamehe, mwenye kurehemu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
forbidder of good, outstepping the limits, sinful,
mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
in fact you are a people who transgress the limits!”
ama nyinyi ni watu walio pindukia mipaka.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
after this whoever exceeds the limits shall be in grave penalty.
na atakaye vuka mipaka baada ya haya, basi yeye atapata adhabu chungu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
but whoever eats of them under compelling necessity - neither desiring it nor exceeding the limit of absolute necessity - surely for such action allah is much forgiving, most merciful.
lakini anaye lazimishwa bila ya kuasi, wala kuruka mipaka, basi hakika mwenyezi mungu ni mwenye kusamehe na mwenye kurehemu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
allah does not guide to the right way any who exceeds the limits and is an utter liar.
hakika mwenyezi mungu hamwongoi apindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
and whoever transgresses the limits of allah - it is those who are the wrongdoers.
na watakao ikiuka mipaka ya mwenyezi mungu, hao ndio madhaalimu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
call on your lord humbly and secretly; surely he does not love those who exceed the limits.
muombeni mola wenu mlezi kwa unyenyekevu na kwa siri. hakika yeye hawapendi warukao mipaka.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
and do not abuse those whom they call upon besides allah, lest exceeding the limits they should abuse allah out of ignorance.
wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya mwenyezi mungu, wasije na wao wakamtukana mwenyezi mungu kwa jeuri bila ya kujua.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: