From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
colui cui allah apre il cuore all'islàm e che possiede una luce che proviene dal suo signore...
je! yule ambaye mwenyezi mungu amemfungulia kifua chake kwa uislamu, na akawa yuko kwenye nuru itokayo kwa mola wake mlezi (ni sawa na mwenye moyo mgumu?)
mentre ero in viaggio e mi avvicinavo a damasco, verso mezzogiorno, all'improvviso una gran luce dal cielo rifulse attorno a me
"basi, nilipokuwa njiani karibu kufika damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia pande zote.
coloro che crederanno in lui, lo onoreranno, lo assisteranno e seguiranno la luce che è scesa con lui, invero prospereranno”.
basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa.
di': “cosa credete? se allah vi desse la notte continua fino al giorno della resurrezione, quale altra divinità all'infuori di allah potrebbe darvi la luce?
sema: mwaonaje, mwenyezi mungu angeli ufanya usiku umekukalieni moja kwa moja mpaka siku ya kiyama, mungu gani asiye kuwa mwenyezi mungu atakaye kuleteeni mwangaza?