Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ya se han manifestado síntomas de la misma.
na hakika alama zake zimekwisha kuja.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
porque la gracia salvadora de dios se ha manifestado a todos los hombres
maana neema ya mungu imedhihirishwa kwa ajili ya wokovu wa watu wote.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
y sabéis que él fue manifestado para quitar los pecados y que en él no hay pecado
mnajua kwamba kristo alikuja kuziondoa dhambi zetu, na kwamba kwake hamna dhambi yoyote.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
pero ahora, aparte de la ley, se ha manifestado la justicia de dios atestiguada por la ley y los profetas
lakini sasa, njia ya mungu ya kuwakubali watu kuwa waadilifu imekwisha dhihirishwa, tena bila kutegemea sheria. sheria na manabii hushuhudia jambo hili.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
los habitantes de zuérate han mostrado su solidaridad con los huelguistas y lo han manifestado ofreciéndoles asistencia para que su protesta continúe.
wakaazi wa zouerat wameonyesha huruma zao kwa waandamanaji na kufikia hata kuwapa misaada ili kuhakikisha maandamano yanaendelea.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
y entonces será manifestado aquel inicuo, a quien el señor jesús matará con el soplo de su boca y destruirá con el resplandor de su venida
hapo ndipo mwovu atakapotokea; lakini bwana yesu anapokuja atamuua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kwa mng'ao wa kuja kwake.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
desde la revolución, los egipcios se han manifestado tanto en internet como fuera de él en contra del acoso sexual y la violencia de género.
tangu mapinduzi yalipofanyika, wamisri wanaotumia mtandao wa intaneti na wasiotumia mtandao wa intaneti wamekuwa wakisimama imara kupinga udhalilishaji wa kijinsia pamoja na machafuko yatokanayo na kutokujali usawa wa binadamu.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
a muchos de la gente de la escritura les gustaría hacer de vosotros infieles después de haber sido creyentes, por envidia, después de habérseles manifestado la verdad.
wengi miongoni mwa watu wa kitabu wanatamani lau wange kurudisheni nyinyi muwe makafiri baada ya kuamini kwenu, kwa ajili ya uhasidi uliomo ndani ya nafsi zao, baada ya kwisha wapambanukia haki.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
a quien se separe del enviado después de habérsele manifestado claramente la dirección y siga un camino diferente del de los creyentes, le abandonaremos en la medida que él abandone y le arrojaremos a la gehena.
na anaye mpinga mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu, na akafuata njia isiyo kuwa ya waumini, tutamuelekeza aliko elekea, na tutamuingiza katika jahannamu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
pero que ha sido manifestado ahora; y que por medio de las escrituras proféticas y según el mandamiento del dios eterno se ha dado a conocer a todas las naciones para la obediencia de la fe--
lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
amados, ahora somos hijos de dios, y aún no se ha manifestado lo que seremos. pero sabemos que cuando él sea manifestado, seremos semejantes a él, porque le veremos tal como él es
wapenzi wangu, sisi ni watoto wa mungu sasa, lakini bado haijaonekana wazi jinsi tutakavyokuwa. lakini tunajua kwamba wakati kristo atakapotokea, tutafanana naye kwani tutamwona vile alivyo.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
en la última cumbre unión europea-África, celebrada en bélgica, el presidente de zambia, michael chilufya sata, reiteró lo que otros dirigentes africanos habían manifestado en anteriores ocasiones: occidente contribuye a las guerras en África a través de la venta de armas y equipamiento militar.
kwenye mkutano wa hivi karibuni wa umoja wa ulaya ulifanyika nchini ubeligiji, rais wa zambia michael chilufya sata alijibu mapigo kwa kile kile ambacho viongozi wengine wa afrika walikisema huko nyuma kuhusu nchi za magharibi kuchangia vita barani humu kupitia biashara ya sialaha na vifaa vingine vya kivita.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality: