Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
na wengine wafungwao kwa minyororo.
and also others bound in fetters.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
and on that day you will see the guilty linked together in chains.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
zitakapo kuwa pingu shingoni mwao na minyororo, huku wanabururwa
when around their necks will be shackles and chains; they will be dragged. –
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
hakika sisi tumewaandalia makafiri minyororo na pingu na moto mkali.
[now,] behold, for those who deny the truth, we have prepared chains, iron collars and a blazing fire, but
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
marekani: wanawake walio kwenye uchungu wa kuzaa hawatafungwa tena minyororo.
usa: women in labor no longer to be shackled.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani.
and others had trial of cruel mockings and scourgings, yea, moreover of bonds and imprisonment:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa sababu ya kuihubiri habari njema mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. lakini neno la mungu haliwezi kufungwa minyororo,
wherein i suffer trouble, as an evil doer, even unto bonds; but the word of god is not bound.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
ni kwa sababu hiyo nimeomba kuonana na kuongea nanyi, maana nimefungwa minyororo hii kwa sababu ya tumaini lile la israeli."
for this cause therefore have i called for you, to see you, and to speak with you: because that for the hope of israel i am bound with this chain.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
"kwa sababu kuwa huru si tu kutupa minyororo, bali kuishi katika namna inayoheshimu na kukuza uhuru wa wengine."
"for to be free is not to merely cast off one's chains, but to live in a way that respects and enhances the freedom of others. "#ripmandela — angisiwe mafumana (@angi_m_) december 6, 2013
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
herode ndiye aliyekuwa amemtia yohane nguvuni, akamfunga minyororo na kumtia gerezani kwa sababu ya herodia, mke wa filipo, ndugu yake. sababu hasa ni
for herod had laid hold on john, and bound him, and put him in prison for herodias' sake, his brother philip's wife.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mkuu wa jeshi alimwendea paulo, akamtia nguvuni na kuamuru afungwe minyororo miwili. kisha akauliza, "ni mtu gani huyu, na amefanya nini?"
then the chief captain came near, and took him, and commanded him to be bound with two chains; and demanded who he was, and what he had done.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
insha ya atwood kwenye wavuti ya amnesty international inaonyesha mambo mawili, sehemu inayohusu taratibu za kujifungua huku umefungwa minyororo kama yalivyoelezwa kwenye mtoto wa vanessa na pia inaonyesha jambo jingine kuhusu mfumo wa magereza na umama, kwa kutumia picha za wanawake wakati mpigapicha akisoma insha kuhusu uzoefu wake wa kutembelea magereza huku akipiga picha.
the atwood documentary in the amnesty international site features both a section on the process of giving birth in shackless as told in vanessa's baby and another on prison systems and motherhood, with fotographs of the women while the photographer reads an essay on her experiences visiting the prisons and taking the pictures.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ambao kwamba wanamfuata huyo mtume, nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika taurati na injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao.
"those who follow the messenger, the unlettered prophet, whom they find mentioned in their own (scriptures),- in the law and the gospel;- for he commands them what is just and forbids them what is evil; he allows them as lawful what is good (and pure) and prohibits them from what is bad (and impure); he releases them from their heavy burdens and from the yokes that are upon them.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting