Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka katika mtego wa ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa yake.
and that they may recover themselves out of the snare of the devil, who are taken captive by him at his will.
kisha ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. huyo shetani akamwambia,
and the devil, taking him up into an high mountain, shewed unto him all the kingdoms of the world in a moment of time.
ndipo ibilisi akamwambia, "kama wewe ni mwana wa mungu, amuru jiwe hili liwe mkate."
and the devil said unto him, if thou be the son of god, command this stone that it be made bread.
nyie manaopiga kelele za kuutukuza ushoga, mkafie kuzimu. mtandelea kuzungumzia haki zenu za kijinga za binadamu wakati mkipumzika na ibilisi huko
you can talk about your bogus human rights while chilling with satan there. #antigaybill — wadd'a mutebi (@waddamutebi) february 24, 2014
yesu akawaambia, "je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? hata hivyo, mmoja wenu ni ibilisi!"
jesus answered them, have not i chosen you twelve, and one of you is a devil?
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
he that committeth sin is of the devil; for the devil sinneth from the beginning. for this purpose the son of god was manifested, that he might destroy the works of the devil.
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
and supper being ended, the devil having now put into the heart of judas iscariot, simon's son, to betray him;
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
in this the children of god are manifest, and the children of the devil: whosoever doeth not righteousness is not of god, neither he that loveth not his brother.
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
how god anointed jesus of nazareth with the holy ghost and with power: who went about doing good, and healing all that were oppressed of the devil; for god was with him.
ulafi wa #uongozi: #sudankusini ilipokuwa sehemu ya #sudan, watu walidhani kwamba mji wa khartoum ulikuwa ibilisi wa pekee.
#leadership greed: when #southsudan was with #sudan, people thought khartoum was the only devil.