From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina yesu, kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao."
他 將 要 生 一 個 兒 子 . 你 要 給 他 起 名 叫 耶 穌 . 因 他 要 將 自 己 的 百 姓 從 罪 惡 裡 救 出 來
hapo wakapendelea kuwa na mfalme, na mungu akawapa saulo, mtoto wa kishi wa kabila la benyamini, awe mfalme wao kwa muda wa miaka arobaini.
後 來 他 們 求 一 個 王 、 神 就 將 便 雅 憫 支 派 中 、 基 士 的 兒 子 掃 羅 、 給 他 們 作 王 四 十 年
halafu akawaambia, "ni nani kati yenu ambaye mtoto wake au ng'ombe wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya sabato?"
便 對 他 們 說 、 你 們 中 間 誰 有 驢 或 有 牛 、 在 安 息 日 掉 在 井 裡 、 不 立 時 拉 牠 上 來 呢