Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
und die hohenpriester beschuldigten ihn hart. {}
makuhani wakuu wakamshtaki yesu mambo mengi.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
und haben einen hohenpriester über das haus gottes:
basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya mungu.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
die hohenpriester aber und schriftgelehrten standen und verklagten ihn hart.
makuhani wakuu na walimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
denn er wußte, daß ihn die hohenpriester aus neid überantwortet hatten.
alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi yesu kwake kwa sababu ya wivu.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
die aber umherstanden sprachen: schiltst du den hohenpriester gottes?
watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia paulo, "unamtukana kuhani mkuu wa mungu!"
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
desgleichen auch die hohenpriester spotteten sein samt den schriftgelehrten und Ältesten und sprachen:
hali kadhalika na makuhani wakuu pamoja na walimu wa sheria na wazee walimdhihaki wakisema,
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
aber die hohenpriester reizten das volk, das er ihnen viel lieber den barabbas losgäbe.
lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe pilato awafungulie baraba.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
saulus aber schnaubte noch mit drohen und morden wider die jünger des herrn und ging zum hohenpriester
wakati huo saulo alikuwa akizidisha vitisho vikali vya kuwaua wafuasi wa bwana. alikwenda kwa kuhani mkuu,
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
und die hohenpriester und schriftgelehrten trachteten, wie sie ihn töteten; und fürchteten sich vor dem volk.
makuhani wakuu na walimu wa sheria wakawa wanatafuta njia ya kumwua yesu, lakini waliwaogopa watu.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
aber die hohenpriester und die Ältesten überredeten das volk, daß sie um barabbas bitten sollten und jesus umbrächten.
lakini makuhani wakuu na wazee wakawashawishi watu waombe baraba afunguliwe na yesu auawe.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
da versammelten sich die hohenpriester und schriftgelehrten und die Ältesten im volk in den palast des hohenpriesters, der da hieß kaiphas,
wakati huo makuhani wakuu na wazee wa watu walikutana pamoja katika ukumbi wa kayafa, kuhani mkuu.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
aber die hohenpriester und der ganze rat suchten zeugnis wider jesum, auf daß sie ihn zum tode brächten, und fanden nichts.
makuhani wakuu na baraza lote wakatafuta ushahidi wa kumshtaki yesu wapate kumwua, lakini hawakupata.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
aber sie lagen ihm an mit großem geschrei und forderten, daß er gekreuzigt würde. und ihr und der hohenpriester geschrei nahm überhand.
lakini wao wakazidi kupiga kelele kwa nguvu sana, kwamba yesu ni lazima asulubiwe. mwishowe, sauti zao zikashinda.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
da diese rede hörten der hohenpriester und der hauptmann des tempels und andere hohepriester, wurden sie darüber betreten, was doch das werden wollte.
mkuu wa walinzi wa hekalu na makuhani wakuu waliposikia habari hiyo wakawa na wasiwasi, wasijue yaliyowapata.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
aber die hohenpriester nahmen die silberlinge und sprachen: es taugt nicht, daß wir sie in den gotteskasten legen, denn es ist blutgeld.
makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "haifai kuziweka katika hazina ya hekalu kwa maana ni fedha za damu."
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
das ist nun die hauptsache, davon wir reden: wir haben einen solchen hohenpriester, der da sitzt zu der rechten auf dem stuhl der majestät im himmel
basi, jambo muhimu katika hayo tunayosema ni hili: sisi tunaye kuhani mkuu wa namna hiyo, ambaye anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha mwenyezi mungu mbinguni.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
als er aber solches redete, gab der diener einer, die dabeistanden, jesu einen backenstreich und sprach: sollst du dem hohenpriester also antworten?
alipokwisha sema hayo mlinzi mmoja aliyekuwa amesimama hapo akampiga kofi akisema, "je, ndivyo unavyomjibu kuhani mkuu?"
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
da aber die hohenpriester und schriftgelehrten sahen die wunder, die er tat, und die kinder, die im tempel schrieen und sagten: hosianna dem sohn davids! wurden sie entrüstet
basi, makuhani wakuu na walimu wa sheria walipoyaona maajabu aliyoyafanya yesu, na pia watoto walipokuwa wanapaaza sauti zao hekaluni wakisema: "sifa kwa mwana wa daudi," wakakasirika.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
und die hohenpriester und schriftgelehrten trachteten darnach, wie sie die hände an ihn legten zu derselben stunde; und fürchteten sich vor dem volk, denn sie verstanden, daß er auf sie dies gleichnis gesagt hatte.
walimu wa sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
da ihn die hohenpriester und die diener sahen, schrieen sie und sprachen: kreuzige! kreuzige! pilatus spricht zu ihnen: nehmt ihr ihn hin und kreuzigt ihn; denn ich finde keine schuld an ihm.
makuhani wakuu na walinzi walipomwona wakapaaza sauti: "msulubishe! msulubishe!" pilato akawaambia, "mchukueni basi, ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa maana mimi sikuona hatia yoyote kwake."
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung