Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
among the desert-arabs around you there are some hypocrites, and among the inhabitants of medina too.
na katika mabedui walio jirani zenu wamo wanaafiki; na katika wenyeji wa madina pia wapo walio bobea katika unaafiki.
some of the desert dwelling arabs around you are hypocrites as are some of the inhabitants of medina. they are persisting in their hypocrisies.
na katika mabedui walio jirani zenu wamo wanaafiki; na katika wenyeji wa madina pia wapo walio bobea katika unaafiki.
it is not for the inhabitants of medina and the desert-arabs around them to stay behind the messenger of god, nor to prefer themselves to him.
haiwafalii watu wa madina na mabedui walio jirani zao kubakia nyuma wasitoke na mtume, wala kujipendelea nafsi zao kuliko yeye.
they say, "if we return to medina, surely the more honourable (element) will expel therefrom the meaner."
wanasema: tukirejea madina mwenye utukufu zaidi bila ya shaka atamfukuza aliye mnyonge.
god is well pleased with the foremost ones of those who left their homes for the cause of god, those who helped them after their arrival in medina and those who nobly followed these two groups. he has prepared gardens for them wherein streams flow and wherein they will live forever.
na wale walio tangulia, wa kwanza, katika wahajiri na ansari, na walio wafuata kwa wema, mwenyezi mungu ameridhika nao, na wao wameridhika naye; na amewaandalia bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo milele.
they say: if we return to medina, the mighty will surely drive out the meaner therefrom; and to allah belongs the might and to his apostle and to the believers, but the hypocrites do not know.
wanasema: tukirejea madina mwenye utukufu zaidi bila ya shaka atamfukuza aliye mnyonge. na mwenyezi mungu ndiye mwenye utukufu - yeye, na mtume wake, na waumini.
ahhh..the swine-flu with all the accompanying conspiracy theories..a jordanian “scientist” specializing in diseases claims that mecca and medina are somehow isolated from disease, thus there is no need for the talk about the possible outbreaks that might result from the millions of pilgrims being in extreme proximity while performing hajj.. kill them pigs..go to hajj..you will be disease free..
ahhh..mafua ya nguruwe pamoja na nadharia zote za njama zinazoambatana nayo… “mwanasayansi” wa kijordani bingwa wa magonjwa anadai kuwa maka na madina ziko mbali na ugonjwa huo, kwa hiyo hakuna haja ya kuzungumzia uwezekano wa mlipuko ambao unaweza kutokea kutokana na mamilioni ya mahujaji kuwa karibu karibu wakati wa hija… uweni nguruwe…nendeni kwenye hija…na mtakuwa mbali na ugonjwa…