Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
biti is the secretary general for movement for democratic change, led by former prime minister morgan tsvangirai.
biti ni katibu mkuu wa mdc, kinachoongozwa na waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo, morgan tsvangirai.
he is the prime ministerial candidate of the bjp and the national democratic alliance for the upcoming 2014 indian general elections.
ni mgombea wa uwaziri mkuu wa chama cha national democratic alliance katika uchaguzi mkuu ujao wa india wa mwaka 2014.
former malaysian prime minister mahathir mohamad wanted boeing to take responsibility for the mysterious disappearance of malaysian airline flight mh370.
waziri mkuu wa zamani wa malaysia mahathir mohamad ameitaka boeing kuwajibika kufuatia tukio la kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la malaysia yenye namba mh370.
dymovsky also appeals to russian prime minister vladimir putin urging him to investigate those problems and put an end to the widespread corruption in the police.
dymovsky pia anamwomba waziri mkuu vladimir putin kupeleleza matatizo hayo na kumalizia mbali tatizo la ufisadi katika jeshi la polisi.
in general, many agreed that this may be a violation of privacy and personal data, and the prime minister doing too much pr on media.
kwa ujumla, wengi walikubaliana kwamba ukiukwaji wa haki za faradha za walajio pamoja na siri za taarifa binafsi, pamoja na waziri mkuu kufanya mambo mengi ili kujijengea sifa binafsi kupitia vyombo vya habari.
on december 18, 2008, millions of thai mobile phone subscribers got this text message from the newly installed prime minister abhisit vejjajiva:
mnamo disemba 18, 2008, mamilioni ya wateja wa simu za viganjani wa thailand walipokea ujumbe huu kutoka kwa waziri mkuu mpya abhisit vejjajiva:
another topic that has sparked controversy among uzbek bloggers was the facebook account of uzbekistan’s prime-minister shavkat mirziyoyev.
mada nyingine ambayo imeleta utata mkubwa kati ya wanablogu wa uzbek ni akaunti ya facebook ya waziri mkuu wa uzbekistan shavkat mirziyoyev.
after the removal of some of the videos, some twitter users compared ivanov with turkish prime minister recep tayyib erdoğan, who has also faced criticism for blocking social media sites in late march 2014
baada ya kuondolewa kwa video hizo, baadhi ya watumiaji wa twita walimfananisha ivanov na waziri mkuu wa uturuki recep tayyib erdoğan.