Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
and from the days of john the baptist until now the kingdom of heaven suffereth violence, and the violent take it by force.
tangu wakati wa yohane mbatizaji mpaka leo hii, ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
charity suffereth long, and is kind; charity envieth not; charity vaunteth not itself, is not puffed up,
mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
they glory in the grace and the bounty from allah, and in the fact that allah suffereth not the reward of the faithful to be lost (in the least).
wanashangilia neema na fadhila za mwenyezi mungu, na ya kwamba mwenyezi mungu hapotezi ujira wa waumini,
Letzte Aktualisierung: 2014-07-03
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
and when the barbarians saw the venomous beast hang on his hand, they said among themselves, no doubt this man is a murderer, whom, though he hath escaped the sea, yet vengeance suffereth not to live.
wenyeji wa pale walipokiona kile kiumbe kinaning'inia kwenye mkono wake waliambiana, "bila shaka mtu huyu amekwisha ua mtu, na ingawa ameokoka kuangamia baharini, haki haitamwacha aendelee kuishi!"
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
it was not fitting for the people of medina and the bedouin arabs of the neighbourhood, to refuse to follow allah's messenger, nor to prefer their own lives to his: because nothing could they suffer or do, but was reckoned to their credit as a deed of righteousness,- whether they suffered thirst, or fatigue, or hunger, in the cause of allah, or trod paths to raise the ire of the unbelievers, or received any injury whatever from an enemy: for allah suffereth not the reward to be lost of those who do good;-
haiwafalii watu wa madina na mabedui walio jirani zao kubakia nyuma wasitoke na mtume, wala kujipendelea nafsi zao kuliko yeye. hayo ni kwa kuwa hakiwapati kiu, wala machofu, wala njaa, kwa ajili ya njia ya mwenyezi mungu, wala hawendi mahali panapo waghadhibisha makafiri, wala hakiwapati chochote kutokana na maadui, ila huandikiwa kuwa ni kitendo chema.
Letzte Aktualisierung: 2014-07-03
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität: