Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
dai loro frutti dunque li potrete riconoscere
kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
la seconda volta giuseppe si fece riconoscere dai suoi fratelli e fu nota al faraone la sua origine
katika safari yao ya pili, yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na farao akaifahamu jamaa ya yosefu.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
perché chi mangia e beve senza riconoscere il corpo del signore, mangia e beve la propria condanna
maana anayekula na kunywa bila kutambua maana ya mwili wa bwana, anakula na kunywa hukumu yake yeye mwenyewe.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
chi ritiene di essere profeta o dotato di doni dello spirito, deve riconoscere che quanto scrivo è comando del signore
kama mtu yeyote anadhani kwamba yeye ni mjumbe wa mungu au kwamba anacho kipaji cha roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia ninyi ni amri ya bwana.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
certamente vi metteremo alla prova per riconoscere quelli di voi che combattono e resistono e per verificare quello che si dice sul vostro conto.
na bila ya shaka tutakujaribuni mpaka tuwadhihirishe wapignao jihadi katika nyinyi na wanao subiri. nasi tutazifanyia mtihani khabari zenu.
Letzte Aktualisierung: 2014-07-03
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
da questo potete riconoscere lo spirito di dio: ogni spirito che riconosce che gesù cristo è venuto nella carne, è da dio
hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na roho wa mungu: kila anayekiri kwamba kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye roho wa mungu.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
se [i credenti] si fossero fatti riconoscere, certamente avremmo colpito con doloroso castigo coloro che non credevano.
lau wangeli tengana bila ya shaka tungeli waadhibu walio kufuru kwa adhabu chungu.
Letzte Aktualisierung: 2014-07-03
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
fattosi giorno non riuscivano a riconoscere quella terra, ma notarono un'insenatura con spiaggia e decisero, se possibile, di spingere la nave verso di essa
kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
attraverso questa campagna online vogliamo riconoscere e incoraggiare gli utenti del web che condividono la loro lingua su twitter, con particolare riguardo alle lingue indigene, a quelle minacciate di estinzione e alle minoranze linguistiche che potrebbero non essere ben rappresentate online quanto altre.
kwa kupitia kampeni hii ya mtandaoni, tunahitaji kuwatambua na kuwahamasisha watumiaji wa mtandao wa intaneti wanaotumia lugha zao za asili kwenye mtandao wa twita hususani kwenye lugha za wenyeji, zilizo kwenye hatari ya kutoweka na zinazozungumzwa na watu wachache, zote zikiwa hazijawakilishwa ipasavyo mtandaoni.
Letzte Aktualisierung: 2016-02-24
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
perciò accoglietevi gli uni gli altri, come anche il cristo accolse noi, in vista della gloria di dio. poiché dico che cristo divenne effettivamente ministro di quelli che sono circoncisi a favore della veracità di dio, per confermare le promesse che egli aveva fatto ai loro antenati, e affinché le nazioni glorifichino dio per la sua misericordia. come è scritto: “per questo ti riconoscerò apertamente fra le nazioni e innalzerò melodie al tuo nome. e di nuovo dice: “rallegratevi, nazioni, col suo popolo”. e di nuovo: “lodate geova, nazioni tutte, e tutti i popoli lo lodino”. e di nuovo isaia dice: “ci sarà la radice di iesse, e uno che sorgerà per governare le nazioni; in lui le nazioni riporranno la loro speranza”. l’iddio che dà speranza vi riempia di ogni gioia e pace mediante il vostro credere, affinché abbondiate nella speranza col potere dello spirito santo.
kwa hiyo mkaribishane, kama vile kristo pia alivyotukaribisha sisi, kwa kusudi la kumpa mungu utukufu. kwa maana nasema kwamba kwa kweli kristo alikuwa mhudumu wa wale waliotahiriwa kwa ajili ya ukweli wa mungu, ili kuthibitisha ahadi ambazo yeye aliwapa mababu zao, na kwamba mataifa yamtukuze mungu kwa ajili ya rehema yake. kama ilivyoandikwa: “ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.” naye anasema tena: “furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake.” na tena: “msifuni yehova, enyi mataifa yote, na vikundi vyote vya watu vimsifu yeye.” na tena isaya anasema: “patakuwa na mzizi wa yese, na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa; na mataifa yatamtumainia yeye.” mungu anayetoa tumaini na awajaze ninyi shangwe yote na amani kwa kuamini kwenu, ili mzidi katika tumaini kwa nguvu za roho takatifu.