Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
para que sean descubiertos los pensamientos de muchos corazones. y una espada traspasará tu misma alma
na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako."
pero uno de los que estaban allí, sacando su espada, hirió al siervo del sumo sacerdote y le cortó la oreja
mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na yesu akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.
"no penséis que he venido para traer paz a la tierra. no he venido para traer paz, sino espada
"msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. sikuja kuleta amani bali upanga.
"escribe al ángel de la iglesia en pérgamo: el que tiene la espada aguda de dos filos dice estas cosas
"kwa malaika wa kanisa la pergamoni andika hivi: "huu ndio ujumbe wake yeye aliye na upanga mkali wenye kuwili.
caerán a filo de espada y serán llevados cautivos a todas las naciones. jerusalén será pisoteada por los gentiles hasta que se cumplan los tiempos de los gentiles
wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia.
al ver los que estaban con él lo que había de ocurrir, le dijeron: --señor, ¿heriremos a espada
wale wanafunzi wake walipoona hayo wakasema, "bwana, tutumie panga zetu?"
sin embargo, la diplomacia, aunque buena en su propia manera, no debe ser de uso frecuente en la iglesia porque a una espada se le debe llamar espada.
hata hivyo, diplomasia hata kama ni nzuri katika namna yake, haitakiwi kutumika sana katika kanisa kwa sababu, beleshi ni lazima liitwe beleshi.
entonces simón pedro, que tenía una espada, la sacó, hirió al siervo del sumo sacerdote y le cortó la oreja derecha. y el siervo se llamaba malco
simoni petro alikuwa na upanga; basi, akauchomoa, akamkata sikio la kulia mtumishi wa kuhani mkuu. mtumishi huyo aliitwa malko.
y salió otro caballo, rojo. al que estaba montado sobre él, le fue dado poder para quitar la paz de la tierra y para que se matasen unos a otros. y le fue dada una gran espada
nami nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mwingine hapo, mwekundu. mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani duniani, watu wauane, akapewa upanga mkubwa.
porque la palabra de dios es viva y eficaz, y más penetrante que toda espada de dos filos. penetra hasta partir el alma y el espíritu, las coyunturas y los tuétanos, y discierne los pensamientos y las intenciones del corazón
neno la mungu ni hai na lina nguvu; ni kali zaidi kuliko upanga wenye makali kuwili. hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo viungo vya mwili na mafuta. neno hilo huchambua nia na fikira za mioyo ya watu.
si alguien lleva en cautividad, es llevado en cautividad; si alguien mata a espada, tiene que ser muerto a espada. ¡aquí está la perseverancia y la fe de los santos
waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. kutokana na hayo ni lazima watu wa mungu wawe na uvumilivu na imani."
fueron apedreados, aserrados, puestos a prueba, muertos a espada. anduvieron de un lado para otro cubiertos de pieles de ovejas y de cabras; pobres, angustiados, maltratados
walipigwa mawe, walipasuliwa vipandevipande, waliuawa kwa upanga. walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi, walikuwa watu maskini, walioteswa na kudhulumiwa.
estaba entre la espada y la pared: o lo obligarían a dimitir (a la olmert) en total vergüenza, o lo forzarían a disolver el parlamento y reorganizar su gobierno, lo que hubiera precipitado un golpe como el de hoy, permitiéndole ahorrar el costo político.
kwa hakika alikuwa katika wakati mgumu: ama angelazimika kujiuzulu (kwa mujibu wa olmert) katika aibu kubwa au angelazimika kuvunja bunge na hivyo kuunda serikali yake upya, hali ambayo ingempeleka katika mapinduzi kama haya tuliyoyoyashuhudia, ambayo angalau imeficha aibu yake kisiasa.