Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
este video muestra a suu kyi saludando a sus simpatizantes frente a su casa a orillas de un lago.
video hii inawaonyesha mashabiki wa suu kyi waliokuwa wakipunga mikono mbele ya nyumba yake iliyoko kando ya ziwa.
la asombrosa belleza del lago kajaki en el sur de afganistán, visto desde un chinook de la real fuerza aérea.
uzuri usiomithilika wa ziwa kajaki kusini mwa afghanistani, kama unavyoonekana ukiwa juu kwa ndege ya royal air force chinnok.
en el lago malawi habitan 1000 especies endémicas de peces, se estima que más que en cualquier otro lugar del mundo.
ziwa malawi ni nmakazi ya aina zaidi ya 1000 za samaki. idadi hii inakadiriwa kuwa ya juu mahali pamoja kulinganisha na maeneo mengine mbalimbali duniani.
mientras que el gobierno de malawi reclama la propiedad exclusiva, tanzania presiona para que se reconozca su anterior propiedad de la mitad del lago.
wakati serikali ya malawi inadai kulimiliki ziwa lote peke yake, tanzania inatoa wito kwamba umiliki wa ziwa hilo uwe nusu kwa nusu, kwamba mpaka uko katikati ya ziwa.
es el tercer lago más grande de África, después del lago tanganica en tanzania y el lago victoria, que también es en parte propiedad de tanzania.
ni la tatu kwa ukubwa barani afrika, baada ya ziwa tanganyika lililopo tanzania na ziwa victoria ambalo nalo sehemu yake kubwa inamilikiwa na tanzania.
y la bestia fue tomada prisionera, junto con el falso profeta que había hecho delante de ella las señales con que había engañado a los que recibieron la marca de la bestia y adoraban a su imagen. ambos fueron lanzados vivos al lago de fuego ardiendo con azufre
lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti.
el 3 de marzo, el grupo boko haram mató a 19 civiles en un ataque contra dos pueblos, kiu keleha y toubu buka, situados a orillas del lago chad, en níger.
mapema machi 3, boko haram waliwaua raia 19 katika shambulizi lililotokea katika vijiji viwili vya, kiu keleha na toubu buka, vilivyopo pembezoni mwa ukanda wa mto chad uliopita nchini nigeria.