Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
shambulio hilo lilitokea kama yadi 10 hivi (mita) nje ya shule huko kaskazini mwa gaza.
وقد كانت الضربة على بعد 10 أمتار من المدرسة في شمالي غزّة، وكانت الضربة الثانية هي القاتلة في الهجوم على مدرسة الأمم المتحدة خلال الساعات القليلة الماضية.
katika miji ya kaskazini mwa mauritania ya zouerat na nouadhibou kumeshuhudiwa maandamano ya wafanyakazi wasio na ajira za kudumu.
تشهد مدينتي نواذيبو والزويرات اللتان تقعان في الشمال الموريتاني احتجاجات قوية يقوم بها عمال الجرنالية وهم العمال الغير رسميين.
serikali ya luanda inapanga kulihamisha soko hilo kutoka sambizanga kwenda panguila, karibu kilomata 30 kaskazini mwa luanda.
حيث تخطط الحكومة الأنجولية لنقل السوق من سامبيزانجا إلى بنجيلا، التي تقع على بعد 30 كيلومتر شمال لواندا.
kim jong il, dikteta aliyetawala ufalme wa korea kaskazini kwa miongo mitatu, amefariki akiwa na umri wa miaka 69.
توفى كيم جونج ايل، دكتاتور كوريا الشمالية الذي حكمها لمدة الثلاث عقود الماضية، عن عمر يناهز تسعة وستين عاما.
tusisahau kuwa watu katika miji mingine mingi nchini iran nao pia wameshakuwa wahanga wa uchafuzi huu, kama ilivyo kwa jiji la kaskazini,ahwaz .
ولا يجب أن ننسى أن المواطنون بمدن أخرى بإيران أصبحوا ضحايا للتلوث بالمثل، وذلك في مدينة اهواز الجنوبية على سبيل المثال.
katikati ya uoto uliofungamana huko kaskazini mwa veracruz, jimbo linalopakana na ghuba ya mexico, mji wa yanga ni kiashiria cha uwepo wa makazi ya waafrika huko mexico.
تقع وسط الأدغال في الجنوب الشرقي من ولاية فيراكروز على طول الخليج المكسيكي، إنّها دليل على وجود واستيطان الأفارقة في المكسيك.
uharibufu mkubwa kwenye makubusho hayo nchini syria umetokea kwenye eneo la kaskazini magharibi mwanchi hiyo, ambapo kumekuwa na matukio ya kuibwa kwa utajiri mkubwa wa kiutamaduni, na kazi nyingi za sanaa hazijulikani ziliko.
معظم المتاحف المتضررة تقع في المنطقة الشمالية الغربية من البلاد، سجلت فيها العديد من حوادث نهب الممتلكات الثقافية والعديد من الأعمال الفنية تعتبر مفقودة حاليًا.
mnamo februari 4, boko haram walifanya shambulio baya kwenye mji wa fotokol kaskazini mwa cameroon, baada tu ya kuvuka mpaka wa naijeria. mamia wa raia wanahofiwa kupoteza maisha 81 wamethibitika kufa na wizara ya ulinzi.
في 4 فبراير / شباط، قامت حركة بوكو حرام بهجوم واسع على بلدة فوتوكول في شمال الكاميرون القريبة من حدود النيجير حيث أكدت وزارة الدفاع عن مقتل 81 مدنيًا حتى الآن.
inataarifiwa kuwa watu 500,000 wameshindwa kutoka katika vijiji wanavyoishi huku wakikosa huduma ya umeme, nishati ya gesi pamoja na maji hali iliyotokana na kutanda kwa theluji mwisho wa wiki hii kaskazini mwa nchi ya iran katika majimbo ya, gilan na mazandaran.
ضربت عاصفة ثلجية مقاطعتي غيلان ومازندران شمالي البلاد في نهاية الأسبوع الماضي وخلفت وراءها أكثر من 500 ألفٍ بلا أي من أساسيات الحياة من ماء وغاز وكهرباء وحسب التقارير الواردة فإن هناك الكثير من المحتجزين في القرى.
wanablogu kutoka mashariki ya kati na afrika kaskazini walionyesha masikitiko yao, huku mtumiaji mmoja wa mtandao wa twita wa bahraini akibaini kuwa kikundi cha 'wapiga mabomu' kilikuwa kinaondoka kwa namna 'yenye sura ya kashfa'.
أعرب المدونون من الشرق الأوسط وشمال أفريقيا تعاطفهم مع تغريدة البحريني على تويتر مشيرًا أن فريق "غاز المسيل للدموع" يغادر "بطريقة مخزية".