Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
wale mitume waliokuwa kule yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa samaria nao wamelipokea neno la mungu, waliwatuma kwao petro na yohane.
ولما سمع الرسل الذين في اورشليم ان السامرة قد قبلت كلمة الله ارسلوا اليهم بطرس ويوحنا.
basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu.
وكان قبلا في المدينة رجل اسمه سيمون يستعمل السحر ويدهش شعب السامرة قائلا انه شيء عظيم.
wakati huo kanisa likawa na amani popote katika yudea, galilaya, na samaria. lilijengwa na kukua katika kumcha bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na roho mtakatifu.
واما الكنائس في جميع اليهودية والجليل والسامرة فكان لها سلام وكانت تبنى وتسير في خوف الرب وبتعزية الروح القدس كانت تتكاثر
lakini wakati roho mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika yerusalemu, katika nchi yote ya yudea na samaria, na hata miisho ya dunia."
لكنكم ستنالون قوة متى حل الروح القدس عليكم وتكونون لي شهودا في اورشليم وفي كل اليهودية والسامرة والى اقصى الارض
saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua stefano kuwa sawa. siku hiyo kanisa la yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za yudea na samaria.
وكان شاول راضيا بقتله. وحدث في ذلك اليوم اضطهاد عظيم على الكنيسة التي في اورشليم فتشتت الجميع في كور اليهودية والسامرة ما عدا الرسل.