Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani,
Йосиф, като взе тялото, обви го с чиста плащеница,
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
mwishowe, mfalme mmoja ambaye hakumtambua yosefu alianza kutawala huko misri.
докле се издигна друг цар над Египет, който не познаваше Йосифа.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
yakobo alimzaa yosefu, aliyekuwa mume wake maria, mama yake yesu, aitwaye kristo.
а Яков роди Йосифа, мъжа на Мария, от която се роди Исус, Който се нарича Христос*(Помазаник или Месия.)
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
hivyo, yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
И тъй, Йосиф, като стана от сън, стори както му заповяда ангелът от Господа и взе жена си;
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
lakini hakumjua kamwe kimwili hata maria alipojifungua mtoto wa kiume. naye yosefu akampa jina yesu.
не я познаваше докато тя роди [първородния си] син; и нарече Му името Исус.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
katika safari yao ya pili, yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na farao akaifahamu jamaa ya yosefu.
и на втория път Йосиф се опозна на братята си, и Йосифовия род стана известен на Фараона.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
miongoni mwao walikuwa maria magdalene, maria mama yao yakobo na yosefu, pamoja na mama yao wana wa zebedayo.
между които бяха Мария Магдалина, и Мария майка на Якова и на Иосия, и майката на Заведеевите синове.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
kwa imani yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa yosefu, akamwabudu mungu akiegemea ile fimbo yake.
Чрез вяра ерихонските стени паднаха след седмодневно обикаляне около тях.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
heli alikuwa mwana wa mathati, mwana wa lawi, mwana wa melki, mwana wa yanai, mwana wa yosefu,
А, Илий, Мататов; Матат Левиев; Левий, Мелхиев; Мелхий, Яанайев; Яанай, Йосифов;
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. wakanena, "je, huyu si mwana wa yosefu?"
И всички му засвидетелствуваха, чудещи се на благодатните думи, които излизаха из устата Му. И думаха: Тоя не е ли Йосифовият син?
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
siku zilipotimia za yosefu na maria kutakaswa kama walivyotakiwa na sheria ya mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye yerusalemu ili wamweke mbele ya bwana.
Като се навършиха и дните за очистването им, според Мойсеевия закон, занесоха Го в Ерусалим за да Го представят пред Господа,
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
kabila la zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la yosefu, kumi na mbili elfu, na kabila la benyamini, kumi na mbili elfu.
И когато отвори седмия печат, настана мълчание на небето около за половин час.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
hapo yosefu akanunua sanda ya kitani, akauteremsha chini huo mwili, akauzungushia sanda. akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa mwambani, kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango.
И той купи плащаница, и като го сне, обви го в плащаницата, и положи го в гроб, който бе изсечен в скала, и привали камък върху гробната врата.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
je, huyu si yule mwana wa seremala? je, mama yake si anaitwa maria, na ndugu zake si kina yakobo, yosefu, simoni na yuda?
Не е ли Тоя син на дърводелеца? Майка Му не казва ли се Мария, и братята Му Яков и Йосиф, Симон и Юда?
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
hapo akaja yosefu mwenyeji wa armathaya, mjumbe wa baraza kuu, aliyeheshimika sana. yeye pia alikuwa anatazamia kuja kwa ufalme wa mungu. basi, alimwendea pilato bila uoga, akaomba apewe mwili wa yesu.
дойде Йосиф от Ариматея, един почтен съветник, който и сам ожидаше Божието царство, и осмели се да влезе при Пилата и да поиска Исусовото тяло.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
kulikuwa na mlawi mmoja, mzaliwa wa kupro, jina lake yosefu, ambaye mitume walimwita jina barnaba (maana yake, "mtu mwenye kutia moyo").
като имаше земя, продаде я, и донесе парите та ги сложи пред нозете на апостолите.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung