Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
ukarimu wake na twiti zake za hekima ya hali ya juu vilimfanya kuwa mtu ambaye ilikuwa lazima kumfuatilia.
seine unterhaltsamen und gewitzten tweets machten ihn zu einem aufstrebenden literarischen talent, das man im auge behalten sollte.
unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua maandiko matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa kristo yesu.
und weil du von kind auf die heilige schrift weißt, kann dich dieselbe unterweisen zur seligkeit durch den glauben an christum jesum.
kusudi, sasa kwa njia ya kanisa, wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima ya mungu iliyo ya namna nyingi.
auf daß jetzt kund würde den fürstentümern und herrschaften in dem himmel an der gemeinde die mannigfaltige weisheit gottes,
aibu kwenu! ndiyo kusema hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye hekima kiasi cha kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini?
euch zur schande muß ich das sagen: ist so gar kein weiser unter euch, auch nicht einer, der da könnte richten zwischen bruder und bruder?
basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo roho.
welches wir auch reden, nicht mit worten, welche menschliche weisheit lehren kann, sondern mit worten, die der heilige geist lehrt, und richten geistliche sachen geistlich.
treespotter: wapendwa wote, tafadhali tumbukiza sarafu kwa ajili ya prita - tumbukiza sarafu kwa ajili ya hekima ya kiwango cha kawaida.
treespotter: hallo, spendet eine münze für prita - spendet eine münze für den gesunden menschenverstand.
wakati huo yesu alisema, "nakushukuru ee baba, bwana wa mbingu na dunia, maana umewaficha wenye hekima mambo haya, ukawafumbulia watoto wadogo.
zu der zeit antwortete jesus und sprach: ich preise dich, vater und herr himmels und der erde, daß du solches den weisen und klugen verborgen hast und hast es den unmündigen offenbart.
wakasema kwa sauti kuu: "mwanakondoo aliyechinjwa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa."
und sie sprachen mit großer stimme: das lamm, das erwürget ist, ist würdig, zu nehmen kraft und reichtum und weisheit und stärke und ehre und preis und lob.
ujumbe wa kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni mungu mioyoni mwenu kwa shukrani.
lasset das wort christi unter euch reichlich wohnen in aller weisheit; lehret und vermahnet euch selbst mit psalmen und lobgesängen und geistlichen lieblichen liedern und singt dem herrn in eurem herzen.