Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
na kila nafsi itakuja na pamoja nayo mchungaji na shahidi.
und jede seele ist gekommen; mit ihr wird ein treiber und ein zeuge sein.
Letzte Aktualisierung: 2014-07-03
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.
der aber zur tür hineingeht, der ist ein hirte der schafe.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
na wakati mchungaji mkuu atakapotokea, ninyi mtapokea taji ya utukufu isiyofifia.
so werdet ihr, wenn erscheinen wird der erzhirte, die unverwelkliche krone der ehren empfangen.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
mimi ni mchungaji mwema. nawajua walio wangu, nao walio wangu wananijua mimi,
ich bin der gute hirte und erkenne die meinen und bin bekannt den meinen,
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
und werden vor ihm alle völker versammelt werden. und er wird sie voneinander scheiden, gleich als ein hirte die schafe von den böcken scheidet,
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
"mimi ni mchungaji mwema. mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo wake.
ich bin gekommen, daß sie das leben und volle genüge haben sollen.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
ninyi mlikuwa kama kondoo waliokuwa wamepotea; lakini sasa mmemrudia mchungaji na mlinzi wa roho zenu.
denn ihr waret wie die irrenden schafe; aber ihr seid nun bekehrt zu dem hirten und bischof eurer seelen.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
mungu amemfufua bwana wetu yesu kristo ambaye ni mchungaji mkuu wa kondoo kwa sababu ya kumwaga damu yake iliyothibitisha agano la milele.
der gott aber des friedens, der von den toten ausgeführt hat den großen hirten der schafe durch das blut des ewigen testaments, unsern herrn jesus,
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji.
und da er das volk sah, jammerte ihn desselben; denn sie waren verschmachtet und zerstreut wie die schafe, die keinen hirten haben.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
waliposhuka pwani, yesu aliona umati mkubwa wa watu, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji. akaanza kuwafundisha mambo mengi.
und jesus ging heraus und sah das große volk; und es jammerte ihn derselben; denn sie waren wie die schafe, die keinen hirten haben; und er fing an eine lange predigt.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwa mwitu anakuja, huwaacha kondoo na kukimbia. kisha mbwa mwitu huwakamata na kuwatawanya.
ich bin der gute hirte. der gute hirte läßt sein leben für seine schafe. der mietling aber, der nicht hirte ist, des die schafe nicht eigen sind, sieht den wolf kommen und verläßt die schafe und flieht; und der wolf erhascht und zerstreut die schafe.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
kwa sababu mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atakuwa mchungaji wao, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji ya uzima. naye mungu atayafuta machozi yote machoni mwao."
denn das lamm mitten im stuhl wird sie weiden und leiten zu den lebendigen wasserbrunnen, und gott wird abwischen alle tränen von ihren augen.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
yesu akawaambia wanafunzi wake, "ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami; maana maandiko matakatifu yasema: nitampiga mchungaji nao kondoo watatawanyika.
und jesus sprach zu ihnen: ihr werdet euch in dieser nacht alle an mir ärgern; denn es steht geschrieben: "ich werde den hirten schlagen, und die schafe werden sich zerstreuen."
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
kisha yesu akawaambia, "usiku huu wa leo, ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami, maana maandiko matakatifu yasema: nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika.
da sprach jesus zu ihnen: in dieser nacht werdet ihr euch alle ärgern an mir. denn es steht geschrieben: "ich werde den hirten schlagen, und die schafe der herde werden sich zerstreuen."
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung