Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
mtu ana thamani kuliko kondoo! basi, ni halali kutenda mema siku ya sabato."
wie viel besser ist nun ein mensch denn ein schaf! darum mag man wohl am sabbat gutes tun.
na waulize khabari za mji ulio kuwa kando ya bahari, wakiivunja sabato (jumaamosi ya mapumziko).
und frage sie nach der stadt, die am meer lag, und (danach,) wie sie den sabbat entweihten, wie ihre fische scharenweise an ihrem sabbattage zu ihnen kamen.
au je, hamjasoma katika sheria kwamba kila siku ya sabato makuhani huivunja sheria hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?
oder habt ihr nicht gelesen im gesetz, wie die priester am sabbat im tempel den sabbat brechen und sind doch ohne schuld?
siku nyingine ya sabato, yesu aliingia katika sunagogi, akafundisha. mle ndani mlikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.
es geschah aber an einem andern sabbat, daß er ging in die schule und lehrte. und da war ein mensch, des rechte hand war verdorrt.
kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya mwezi mpya au sabato.
so lasset nun niemand euch gewissen machen über speise oder über trank oder über bestimmte feiertage oder neumonde oder sabbate;
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
sollte aber nicht gelöst werden am sabbat diese, die doch abrahams tochter ist, von diesem bande, welche satanas gebunden hatte nun wohl achtzehn jahre?
lakini yesu akawaambia, "tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya sabato?
aber er sprach zu ihnen: wer ist unter euch, so er ein schaf hat, das ihm am sabbat in eine grube fällt, der es nicht ergreife und aufhebe?
aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu wa sabato (jumaamosi).
verinnerlicht den iman an das, was wir hinabgesandt haben als bestätigung dessen, was ihr habt, bevor wir (konturen) von gesichtern verwischen und diese ihren hinterköpfen gleich machen oder sie verfluchen, wie wir diejenigen vom sabbat verflucht haben.