Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
hippolyte donossio anaripoti kuwa watu 150 waliuawa na maelfu ya nyumba kuteketezwa na waasi mwishoni mwa wiki.
hippolyte donossio berichtet, dass im lauf des wochenendes 150 menschen getötet und tausende von häusern durch die rebellen niedergebrannt wurden.
hali ya siasa za uturuki ipo katika misukosuko kufuatia kushindikana kwa jaribio la davutoglu la wiki jana la kuunda serikali ya mseto.
die politische landschaft der türkei befindet sich im wandel, nach davutoglus versuche von letzter woche, eine koalition mit machtaufteilung zu schaffen.
wiki iliyopita, picha za vita kati ya wasafirishaji na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya mjini rio de janeiro zilitapakaa duniani.
in der letzten woche wurden bilder über den krieg zwischen drogenhändlern und dealern in rio de janeiro in der ganzen welt verbreitet.
katika wiki chache zilizopita, mamia ya wahamiaji mwa jangwa la sahara kutoka mali au niger wamehamia miji ya algeria katika mpaka wa mashariki.
in den vergangenen wochen strömten hunderte subsaharische immigranten aus mali oder niger in grenznahe städte in ostalgerien.
hakuna wiki inayopita bila kuwepo habari za kukamwatwa kwa mwandishi au mwanaharakati mwingine wa mtandaoni katika nchi kama vile misri au irani, lakini undani na sababu mara nyingi hugubikwa na utata usioelezeka.
es vergeht keine woche, ohne dass über geschichten von der verhaftung von wieder einem online journalisten, journalistin oder aktivisten (oder aktivistin) in ländern wie Ägypten oder dem iran berichtet wird, einzelheiten und gründe sind aber oft mysteriös verschleiert.
houmani, wimbo wa kawaida lakini wenye jina la ajabu na kiapnde cha video ambacho hakikuchukua gharama kubwa kuandaliwa, kimezua mjadala mkubwa katika wiki za hivi karibuni.
houmani, ein einfaches lied mit einem merkwürdigen titel und einem videoclip, der wenig gekostet hat, hat in den letzten wochen lebhafte debatten angestoßen.
fifa, ambayo ndiyo shirikisho linaloongoza masuala ya soka ulimwenguni, nalo halikuwa limekubaliana na uamuzi wa kufungiwa timu hiyo, na ilitoa muda wa wiki moja kwa raiskuubadili.uamuzi wa jonathan wa kufuta uamuzi wake wa awali uliangukia katika siku ile iliyokuwa kikomo cha muda aliopewa na fifa, na jambo hili limewaacha wengi wakijiuliza endapo ilikuwa ni kwa msukumo wa wa shirikisho hilo lenye nguvu - wala si msukumo wa maoni ya watu - uliomfanya abadili uaumuzi wake.
jonathans entscheidung fiel genau auf die deadline der fifa, was bei vielen die frage aufwarf, ob nicht der mächtige fußballverband den präsidenten umstimmte, und nicht die nigerianer.