Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
siku tatu baada ya kufika mkoani, festo alitoka kaisarea, akaenda yerusalemu.
now when festus was come into the province, after three days he ascended from caesarea to jerusalem.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
walipofika kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka paulo chini ya mamlaka yake.
who, when they came to caesarea, and delivered the epistle to the governor, presented paul also before him.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
ghafla, watu watatu waliokuwa wametumwa kwangu kutoka kaisarea waliwasili kwenye nyumba niliyokuwa nakaa.
and, behold, immediately there were three men already come unto the house where i was, sent from caesarea unto me.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
meli ilitia nanga kaisarea, naye paulo akaenda yerusalemu kulisalimia lile kanisa, kisha akaenda antiokia.
and when he had landed at caesarea, and gone up, and saluted the church, he went down to antioch.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
siku ya pili yake, walifika kaisarea na huko kornelio alikuwa anawangojea pamoja na jamaa na marafiki aliokuwa amewaalika.
and the morrow after they entered into caesarea. and cornelius waited for them, and had called together his kinsmen and near friends.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
roho aliniambia niende pamoja nao bila kusita. hawa ndugu sita waliandamana nami pia kwenda kaisarea na huko tuliingia nyumbani mwa kornelio.
and the spirit bade me go with them, nothing doubting. moreover these six brethren accompanied me, and we entered into the man's house:
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
yesu alipofika pande za kaisarea filipi, aliwauliza wanafunzi wake, "watu wanasema mwana wa mtu kuwa ni nani?"
when jesus came into the coasts of caesarea philippi, he asked his disciples, saying, whom do men say that i the son of man am?
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
kesho yake tuliondoka tukaenda kaisarea. huko kaisarea tulikwenda nyumbani kwa mhubiri filipo. yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa kule yerusalemu.
and the next day we that were of paul's company departed, and came unto caesarea: and we entered into the house of philip the evangelist, which was one of the seven; and abode with him.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
festo alikaa nao kwa muda wa siku nane au kumi hivi, kisha akarudi kaisarea. kesho yake alikwenda barazani, akaamuru paulo aletwe ndani.
and when he had tarried among them more than ten days, he went down unto caesarea; and the next day sitting on the judgment seat commanded paul to be brought.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
baada ya siku tano, kuhani mkuu anania aliwasili kaisarea pamoja na wazee kadhaa na wakili mmoja wa sheria aitwaye tertulo. walimwendea yule mkuu wa mkoa wakamweleza mashtaka yao juu ya paulo.
and after five days ananias the high priest descended with the elders, and with a certain orator named tertullus, who informed the governor against paul.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
wengine kati ya wale wafuasi wa kaisarea walienda pamoja nasi, wakatupeleka nyumbani kwa mnasoni ambaye tulikuwa tunakwenda kukaa naye kwa muda. mnasoni alikuwa mwenyeji wa kupro na alikuwa amekuwa muumini kwa siku nyingi.
there went with us also certain of the disciples of caesarea, and brought with them one mnason of cyprus, an old disciple, with whom we should lodge.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
basi, mkuu wa jeshi aliwaita askari wawili akawaambia, "wekeni tayari askari mia mbili, wapanda farasi sabini na askari mia mbili wa mikuki, waende kaisarea; muwe tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku.
and he called unto him two centurions, saying, make ready two hundred soldiers to go to caesarea, and horsemen threescore and ten, and spearmen two hundred, at the third hour of the night;
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung