Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
maandamano yameanzia kwenye chuo kikuu cha kinshasa (unikin), kichovamiwa na watu wa usalama wa taifa pamoja na polisi.
the epicenter of the protests has been at the university of kinshasa (unikin), which has been stormed by presidential guards and police.
luis michel, kamishna wa maendeleo ya kimataifa wa jumuiya ya ulaya yupo jijini kinshasa na waziri wa mambo ya nje wa ubelgiji carol de gujt, anatarajiwa kuwasili mjini kigali.
louis michel, the european commissioner for international development is in kinshasa and the belgian foreign minister carol de gujt, is supposed to arrive in kigali.
le potentiel anaandika kwamba tathmini ya uvunjaji wa haki za binadamu nchini drc kongo iliyofanywa na rais wa ufaransa hollande haikuchukuliwa kijuu juu na serikali ya kongo wakati ambapo mkutano wa nchi zizungumzazo kifaransa ndio kwanza umeanza mjini kinshasa, drc.
le potentiel writes that french president hollande's assessment of human rights violations in dr of congo were not taken lightly by the congolese government as the francophone summit is set to take place in kinshasa, drc.
mnamo desemba 7, mabalozi wa ufaransa, uingereza na ubeligiji walio jijini kinshasa walimshinikiza kiongozi wa muda mrefu wa upinzani na aliyekuwa mgombea wa kiti cha urais etienne tshisekedi kuwasihi wafuasi wake kuacha ghasia katika miji mbalimbali nje ya nchi hiyo.
on december 7, the ambassadors of france, the united kingdom and belgium in kinshasa pressed the long-time opposition leader and candidate in the presidential election etienne tshisekedi to ask his partisans to stop violence in foreign capitals.
kabeya tshikuku, profesa katika taasisi ya utafiti ya kiuchumi na kijamii (ires) katika chuo kikuu cha kinshasa, anaamini kuwa mantiki ya kibiashara ni kulazimisha watunga sera wa afrika kufanya maamuzi magumu kati ya tunu za msingi wa ustaarabu wao (mshikamano wa kifamilia, ustawi wa marafiki zao nk) na utawala wa biashara, unaohusishwa na kutafuta faida tu bila ya kujali ubinadamu.
kabeya tshikuku, professor at the institute of economic and social research (ires) at the university of kinshasa, has argued that business logic is forcing african policymakers to make a difficult choice between the core values of their civilization (family solidarity, peers well being and other support platforms) and business administration, linked to a search for profit devoid of human consideration.