Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
michael smith alidai kuwa wafanyakazi wa benki na wahudumu madukani wanahofia matumizi mabaya yanayoweza kutokea ya vazi hilo.
michael smith argued that bank staff and shop assistants are concerned with possible criminal misuse.
mashambulizi hayo yalihusisha watu kupigwa, kuuawa, kuchomwa moto, wizi madukani pamoja na wizi wa mali za wahamiaji.
the attacks involved beatings, killings, and burning and looting shops and property owned by foreigners.
watu wanojiweza wanasema watakwenda ughaibuni; wengine wanatabasamu na kujihakikishia kwamba hakuna litakalotokea kwani waangola hawataki tena vita na mateso; wakati wengine wanakimbilia madukani kunua vyakula, ikiwa muovu atalipa na mambo yataenda vibaya, kama ilivyotokea mwaka 1992.
the more affluent people say they are going abroad; some smile and guarantee that nothing will happen because angolans don't want war and suffering anymore; while others rush to stores to buy staple goods, just in case the devil pays and things go wrong, as happened in 1992.