Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
hata kama ukweli bado unachunguzwa., kuna uvumi kwamba gari lilikuwa linasafirisha petroli kimagendo.
even though the facts are under investigation, there are speculations that the vehicle was smuggling gasoline.
katika vituo vya petroli/mafuta, tumia glovu au pangusa kishiko kwa kutumia kipangusaji cha kuua viini ikiwa unaweza.
at petrol/gas stations, use gloves or wipe down the handle with a disinfectant wipe if you can.
maandamano yalianza mara baada ya mamlaka ya palestina kutangaza kuongeza bei za mafuta na petroli kwa takribani asilimia 8 katika ukanda wa magharibi, bei zitakazaoanza kutumika mwazoni mwa mwezi septemba.
the protests started after the palestinian authority declared an increase of about 8% in fuel and petrol prices in the west bank, starting from the beginning of september.
mnamo saa tarehe 13 novemba,uamuzi wa serikali ya mtaa ya chengdu wa kutumia mabavu ili kuvunja jengo moja binafsi ulisababisha kujiua kwa mmoja wa wamiliki aliyejulikana kwa jina la tang fuzhen, ambaye alijimiminia mafuta ya petroli na kujiwasha moto.
on 13 november this year, the forcible demolition of a private building, ordered by the chengdu local government, led to the suicide of one of its owners, tang fuzhen, who poured gasoline and set fire on herself.
tukio la mwanzoni mwa mwezi julai 2014 lililohusu makubaliano ya ushirikiano katika uzalishaji (psa) kati ya shirika la maendeleo ya petroli la tanzania (tpdc) na kampuni ya norway ya kimataifa ya statoil, sambamba na exxon mobil, ilionesha hali ya mashaka kuhusiana na suala la mapato kwenye uvunaji wa gesi nchini tanzania na suala la nani kunufaika na mkataba huo.
an incident in early july 2014 involving a production sharing agreement (psa) between the tanzanian petroleum development corporation (tpdc) and the norwegian multinational statoil, along with exxon mobil, highlights how fraught the question of revenues from tanzania’s gasfields—and who will benefit from them—has become.