Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
jaffna, jiji la pili kimaendeleo nchini sri lanka, na mfumo wake maarufu wa elimu, hivi sasa iko nyuma sana.
jaffna, the second most advanced city in sri lanka, with its famous education system, is now far behind.
ingawa hali imetulia baada ya kulaaniwa sana kila sehemu, bado ghasia hizo dhidi ya waislamu zinaendelea katika maeneo tofauti ya sri lanka.
although the situation has died down after widespread condemnation, sporadic violence against muslims continues in different parts of sri lanka.
walibeba mishumaa, mabango, bendera nyeusi na picha za watotot ambao wanawachukulia kama waathirika wa mashambulizi ya serikali ya sri lanka dhidi ya raia.
they held candles, signs, black flags and pictures of children whom they see as victims of the sri lankan government’s assault on civilians.
kampeni kabambe ya rais wa sri lanka aliye madarakani, mahinda rajapakshe inajumuisha manunuzi ya nafasi za matangazo katika tovuti mashuhuri za vyombo vya habari duniani.
sri lanka's incumbent president mahinda rajapakshe's aggressive re-election campaign includes purchasing banner ads on leading global media sites.
watamil wazawa, kundi kubwa la walio wachache nchini sri lanka wakati ule, hivi sasa wapungua na kuchukua nafasi ya tatu baada ya waislamu na watamil wanaotokea india.
ethnic tamils, the largest minority in sri lanka then, has now reduced to the pathetic third place after muslims and indian tamils.
je mmeweza kuwafikiria maelfu ya watamil wasio na hatia ambao waliuwawa kutokana na matumizi ya jumla ya makombora na silaha za sumu yaliyofanywa na jeshi la sri lanka wakati wa vita hivi vya kimbari?
ever thought of the thousands of innocent tamils who were slaughtered by the indiscriminate use of artillery and chemical weapons by the sri lankan army during the genocidal war?"
katika miaka mitatu iliyopita kumekuwa na matukio mengi ya utekaji, mauaji na kutoweka kwa watu, kulikolenga jamii ya watamil wakati ambapo serikali ya sri lanka ilipokuwa ikitekeleza kampeni yake ya kijeshi.
the last three years have seen a large number of abductions, extrajudicial killings and disappearances, almost exclusively targeting the tamil community as the government of sri lanka relentlessly pursued its military campaign.
baadhi ya watumiaji wa mtandao wa intaneti wa ki-filipino walifananisha ziara ya hivi majuzi ya papa nchini sri lanka, ambapo alionekana akigusa na kubariki mikono ya waumini waliokuwa wamesimama barabarani kumlaki.
several disgruntled filipino internet users pointed to the pope’s recent visit to sri lanka, where he was seen touching and blessing the hands of the faithful along the road.
kanada, marekani, japani, uhindi, sri lanka, australia, ufaransa, argentina, ujerumani, na thailand walikuwa kati ya nchi za kwanza kupanga uhamisho wa raia wao.
canada, the united states, japan, india, sri lanka, australia, france, argentina, germany, and thailand were among the first to plan the evacuation of their citizens.
indi.ca kutoka sri lanka anakisifu kipindi: pamoja na matatizo mengi ya kijamii, aibu yote hubebwa na muadhiriwa ambaye hunyanyasika na ukimya .kuuvunja ukimya huo kunaweza kuleta mabadiliko, na ni vyema kwamba khan anatumia umaarufu wake vyema.
indi.ca from sri lanka praises the show: with many social problems, the shame is on the victim and they are brought into the conspiracy through silence. but breaking that silence can have a knock-on effect, and it’s great that this khan is using his celebrity for such a worth cause.
mwanablogu wa teknolojia amitha amarasinghe anadai kwamba mtandao wa facebook unapewa taswira hasi na vyombo vikuu vya habari nchini sri lanka kwa vichwa vya habari kama "mwanafunzi ajiua shauri ya picha iliyowekwa facebook", "mapenzi ya facebook yaishia na kifo" na kadhalika.
tech blogger amitha amarasinghe alleges that facebook is being portrayed negatively in mainstream media in sri lanka accompanied with saucy headlines like "student commits suicide over a facebook photo", "facebook love ends in death" etc: