Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
yesu aliwaambia wanafunzi wake mbele ya watu wote,
kaj dum la tuta popolo auxskultis, li diris al siaj discxiploj:
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
yesu alipomaliza kusema hayo yote, aliwaambia wanafunzi wake,
kaj kiam jesuo finis cxiujn tiujn vortojn, li diris al siaj discxiploj:
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.
tiun alegorion jesuo diris al ili; sed ili ne komprenis, kiajn aferojn li parolas al ili.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,
kaj li multe instruis ilin per paraboloj, kaj diris al ili en sia instruado:
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,
cxion tion parolis jesuo per paraboloj al la homamasoj, kaj sen parabolo li parolis nenion al ili;
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
halafu yesu aliwaambia pia mfano wa wale ambao walijiona kuwa wema na kuwadharau wengine.
kaj li parolis la jenan parabolon, ankaux por iuj, kiuj fidis al si, ke ili estas justuloj, kaj malestimis la ceterajn:
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. basi, petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.
kaj li parolis tiun diron malkasxe. kaj petro prenis lin, kaj komencis admoni lin.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
yesu aliwaambia, "msifadhaike mioyoni mwenu. mwaminini mungu, niaminini na mimi pia.
ne maltrankviligxu via koro; vi kredas al dio, kredu ankaux al mi.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
hapo wanafunzi wakafahamu kwamba aliwaambia wajihadhari siyo na chachu ya mikate, bali na mafundisho ya mafarisayo na masadukayo.
tiam ili ekkomprenis, ke li admonis ilin sin gardi ne kontraux la fermentajxo de panoj, sed kontraux la instruado de la fariseoj kaj sadukeoj.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
jioni, siku hiyohiyo, yesu aliwaambia wanafunzi wake, "tuvuke ziwa, twende ng'ambo."
kaj en tiu tago, kiam vesperigxis, li diris al ili:ni transiru al la alia bordo.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
yesu aliwaambia wanafunzi wake: "tajiri mmoja alikuwa na karani wake. huyu karani alichongewa kwamba alitumia ovyo mali ya tajiri wake.
kaj li diris ankaux al siaj discxiploj:estis unu ricxa homo, kiu havis administranton; kaj cxi tiu estis denuncita al li, ke li disperdas lian havon.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
kaj gxi trompas la logxantojn de la tero per la signoj, kiujn estis donite al gxi fari antaux la besto; dirante al la logxantoj sur la tero, ke ili faru bildon al la besto, kiu havis la glavovundon kaj vivis.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
hapo, barnaba alikuja akamchukua saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi saulo alivyomwona bwana njiani na jinsi bwana alivyoongea naye. aliwaambia pia jinsi saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule damasko.
sed barnabas prenis lin, kaj kondukis lin al la apostoloj, kaj rakontis al ili, kiel li sur la vojo vidis la sinjoron, kiu ankaux parolis al li, kaj kiel en damasko li sentime parolis en la nomo de jesuo.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
alipowajia mara ya tatu aliwaambia, "mnalala bado na kupumzika? sasa imetosha! saa imefika! mwana wa mtu anakabidhiwa kwa watu waovu.
kaj li venis la trian fojon, kaj diris al ili:dormu nun kaj ripozu; suficxas; venis la horo; jen la filo de homo estas perfidata en la manojn de pekuloj.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, "mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uzima."
jesuo denove parolis al ili, dirante:mi estas la lumo de la mondo; kiu min sekvas, tiu ne iros en mallumo, sed havos la lumon de la vivo.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
yohane aliwaambia watu habari zake, akasema kwa sauti, "huyu ndiye niliyemtaja wakati niliposema: anakuja mtu mmoja baada yangu ambaye ni mkuu kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa."
johano atestis pri li, kaj kriis, dirante:cxi tiu estas li, pri kiu mi diris:kiu venas post mi, tiu estas metita super mi, cxar li ekzistis pli frue ol mi.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung