Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
ole wao waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! kwa maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya mungu itawajia watu hawa.
ve al la gravedulinoj kaj al la sucxigantinoj en tiuj tagoj! cxar estos granda manko sur la tero, kaj kolero kontraux cxi tiu popolo.
kwa imani mose alihama kutoka nchi ya misri bila kuogopa hasira ya mfalme; na wala hakurudi nyuma, kwani alikuwa kama mtu aliyemwona yule mungu asiyeonekana.
per la fido li forlasis egiptujon, ne timante la koleregon de la regxo; cxar li persistis, kiel vidante tiun, kiu ne estas videbla.
lakini sasa mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu; kufuru au maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu.
sed nun formetu ankaux la jenajn:koleron, pasian indignon, malicon, kalumnion, hontindan parolon el via busxo;
watu wana hasira na wamechoka, na mashirika ya habari mara nyingi huchapisha habari kuhusu uhusiano kati ya viongozi wa kisiasa na wezi wa mali za umma lakini hakuna anayezungumzia kuingia mtaani kuandamana kupinga ufisadi -hali isiyotarajiwa kwenye nchi ambayo watu hugomea kila kisichokwenda sawa
homoj estas koleraj kaj lacaj, kaj amaskomunikiloj ofte publikigas novaĵojn pri kontakto inter politikaj gvidantoj kaj bandaĉoj, sed neniu eliras surstraten por protesti kontraŭ koruptado – nenormalaĵo por lando kie oni havas tutlandajn strikojn por ajna problemo.
sheria mpya ya misri ya kudhibiti mikusanyiko ndiyo hasa imewasha hasira kali miongoni mwa wamisri, wengi wakijaribu kupinga sheria hiyo lakini hatimaye kujikuta wakikamatwa wao wenyewe, ikiwa ni pamoja na baadhi ya wanaharakati maarufu kama vile alaa abd el fattah, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela mwezi uliopita, kwa ajili ya kuandaa maandamano pasipo kibali.
pli konkrete, nova leĝo pri kunveno en egiptujo kaŭzis koleron inter egiptoj. multaj el ili provis kontraŭi la leĝon kaj nur trovis sin arestitaj. inter ili estas ankaŭ kelkaj aktivuloj kiel alaa abd el fattah , kiun oni lastjare kondamnis al 15 jaroj da malliberigo pro lia senpermesa organizado de protesto.