Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
hawakuelewa kwamba yesu alikuwa akisema nao juu ya baba.
והם לא התבוננו כי על האב אמר אליהם׃
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
lakini wazazi wake hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia.
והם לא הבינו את הדבר אשר דבר אליהם׃
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.
המשל הזה דבר ישוע באזניהם והמה לא ידעו מה זאת אשר אמר אליהם׃
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
lakini wao hawakuelewa hata kidogo jambo hilo; walikuwa wamefichwa maana ya maneno hayo, na hawakutambua yaliyosemwa.
והם לא הבינו מאומה ויהי הדבר הזה נעלם מהם ולא ידעו את הנאמר׃
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
(alidhani kwamba waisraeli wenzake wangeelewa kwamba mungu angemtumia yeye kuwakomboa, lakini hawakuelewa hivyo.)
ויחשב בלבבו כי יבינו אחיו אשר על ידו יתן האלהים להם תשועה והם לא הבינו׃
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.
והמה לא הבינו את המאמר הזה ונעלם הוא מדעתם וייראו לשאל אתו על המאמר הזה׃
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
wakati huo wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini yesu alipokwisha tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba hayo yalikuwa yameandikwa juu yake, na kwamba watu walikuwa wamemtendea hivyo.
וכל זאת לא הבינו תלמידיו בראשונה אך אחרי אשר נתפאר ישוע זכרו כי כן כתוב עליו וכי זאת עשו לו׃
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
kwa maana wenyeji wa yerusalemu na wakuu wao hawakumtambua yeye kuwa mwokozi. wala hawakuelewa maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato. hata hivyo, waliyafanya maneno ya manabii yatimie kwa kumhukumu yesu adhabu ya kifo.
כי ישבי ירושלים וראשיהם יען אשר לא הכירהו מלאו במשפטם אשר שפטהו את דברי הנביאים הנקראים בכל שבת׃
Letzte Aktualisierung: 2012-05-05
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität: