Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
mkiwa na sifa hizo zote kwa wingi, zitawawezesheni kuwa watendaji na kupata faida katika kumjua bwana wetu yesu kristo.
haec enim vobis cum adsint et superent non vacuos nec sine fructu vos constituent in domini nostri iesu christi cognition
kila mmoja anapaswa kutumia kipaji alichojaliwa na mungu kwa faida ya wengine, kama vile uwakili mwema wa zawadi mbalimbali za mungu.
unusquisque sicut accepit gratiam in alterutrum illam administrantes sicut boni dispensatores multiformis gratiae de
muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.
sicut et ego per omnia omnibus placeo non quaerens quod mihi utile est sed quod multis ut salvi fian
lakini kama ardhi hiyo ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto.
proferens autem spinas ac tribulos reproba est et maledicto proxima cuius consummatio in conbustione
kwa tamaa yao mbaya watajipatia faida kwa kuwaambieni hadithi za uongo. lakini kwa muda mrefu sasa hakimu wao yu tayari, na mwangamizi wao yu macho!
et in avaritia fictis verbis de vobis negotiabuntur quibus iudicium iam olim non cessat et perditio eorum non dormita
nikiwa bado nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa ninyi hongera kuhusu haya yafuatayo: mikutano yenu ninyi waumini yaleta hasara zaidi kuliko faida.
hoc autem praecipio non laudans quod non in melius sed in deterius conveniti
lakini sasa, mmekwisha kombolewa kutoka utumwa wa dhambi na mmekuwa watumishi wa mungu; faida mliyo nayo sasa ni utakatifu, na matokeo yake ni uzima wa milele.
nunc vero liberati a peccato servi autem facti deo habetis fructum vestrum in sanctificationem finem vero vitam aeterna
mimi ni radhi kabisa kutumia nilicho nacho, na hata kujitolea mimi mwenyewe kabisa, kwa faida ya roho zenu. je, mtanipenda kidogo ati kwa kuwa mimi nawapenda ninyi mno?
ego autem libentissime inpendam et superinpendar ipse pro animabus vestris licet plus vos diligens minus diliga
watumwa ambao wakuu wao ni wakristo wasiwadharau kwani ni ndugu zao. badala yake, wanapaswa kuwatumikia hata vizuri zaidi, maana hao wanaopata faida kutokana na kazi yao ni waumini ambao wanawapenda. unapaswa kufundisha na kuhubiri mambo haya.
qui autem fideles habent dominos non contemnant quia fratres sunt sed magis serviant quia fideles sunt et dilecti qui beneficii participes sunt haec doce et exhortar
mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni habari njema kwa nguvu ya roho mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
quibus revelatum est quia non sibi ipsis vobis autem ministrabant ea quae nunc nuntiata sunt vobis per eos qui evangelizaverunt vos spiritu sancto misso de caelo in quae desiderant angeli prospicer