Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
وارواح الانبياء خاضعة للانبياء.
kipaji cha kutangaza ujumbe wa mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
فانظروا لئلا يأتي عليكم ما قيل في الانبياء
jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
لان جميع الانبياء والناموس الى يوحنا تنبأوا.
mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
وهذا توافقه اقوال الانبياء كما هو مكتوب.
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
فانتم تشهدون على انفسكم انكم ابناء قتلة الانبياء.
hivyo mnathibitisha ninyi wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa watu waliowaua manabii.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
اما الانبياء فليتكلم اثنان او ثلاثة وليحكم الآخرون.
kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
وتقولون لو كنا في ايام آبائنا لما شاركناهم في دم الانبياء.
mwasema: kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
قال آخرون انه ايليا. وقال آخرون انه نبي او كأحد الانبياء.
wengine walisema, "mtu huyu ni eliya." wengine walisema, "huyu ni nabii kama mmojawapo wa manabii wa kale."
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
له يشهد جميع الانبياء ان كل من يؤمن به ينال باسمه غفران الخطايا
manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake."
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
لكي يطلب من هذا الجيل دم جميع الانبياء المهرق منذ انشاء العالم.
matokeo yake ni kwamba kizazi hiki kitaadhibiwa kwa sababu ya damu ya manabii wote iliyomwagika tangu mwanzo wa ulimwengu;
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
واما هذا كله فقد كان لكي تكمل كتب الانبياء. حينئذ تركه التلاميذ كلهم وهربوا
lakini haya yote yametendeka ili maandiko ya manabii yatimie." kisha wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ثم ابتدأ من موسى ومن جميع الانبياء يفسر لهما الأمور المختصة به في جميع الكتب
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
خذوا يا اخوتي مثالا لاحتمال المشقات والاناة الانبياء الذين تكلموا باسم الرب.
ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika mateso, fikirini juu ya manabii ambao walinena kwa jina la bwana.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
احترزوا من الانبياء الكذبة الذين يأتونكم بثياب الحملان ولكنهم من داخل ذئاب خاطفة.
"jihadharini na manabii wa uongo. wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
افرحوا وتهللوا. لان اجركم عظيم في السموات. فانهم هكذا طردوا الانبياء الذين قبلكم
furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
انه مكتوب في الانبياء ويكون الجميع متعلمين من الله. فكل من سمع من الآب وتعلّم يقبل اليّ.
manabii wameandika: watu wote watafundishwa na mungu. kila mtu anayemsikia baba na kujifunza kutoka kwake, huja kwangu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
فقال لي انظر لا تفعل. لاني عبد معك ومع اخوتك الانبياء والذين يحفظون اقوال هذا الكتاب. اسجد للّه.
lakini yeye akaniambia, "acha! mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako manabii na wote wanaoyatii maagizo yaliyomo katika kitabu hiki. mwabudu mungu!"
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ثم قال لي هذه الاقوال امينة وصادقة. والرب اله الانبياء القديسين ارسل ملاكه ليري عبيده ما ينبغي ان يكون سريعا.
kisha malaika akaniambia, "maneno haya ni ya kweli na ya kuaminika. bwana mungu ambaye huwapa manabii roho wake, alimtuma malaika wake awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo lazima yatukie punde.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
يا اورشليم يا اورشليم يا قاتلة الانبياء وراجمة المرسلين اليها كم مرة اردت ان اجمع اولادك كما تجمع الدجاجة فراخها تحت جناحيها ولم تريدوا.
"yerusalemu! we yerusalemu! unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako pamoja kama kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini wewe umekataa.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
وغضبت الامم فأتى غضبك وزمان الاموات ليدانوا ولتعطى الاجرة لعبيدك الانبياء والقديسين والخائفين اسمك الصغار والكبار وليهلك الذين كانوا يهلكون الارض.
watu wa mataifa waliwaka hasira, maana wakati wa ghadhabu yako umefika, wakati wa kuwahukumu wafu. ndio wakati wa kuwatuza watumishi wako manabii, watu wako na wote wanaolitukuza jina lako, wakubwa kwa wadogo. ni wakati wa kuwaangamiza wale wanaoangamiza dunia."
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting