Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
فقال لهم كيف لا تفهمون
basi, akawaambia, "na bado hamjaelewa?"
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
لماذا لا تفهمون كلامي. لانكم لا تقدرون ان تسمعوا قولي.
kwa nini hamwelewi hayo ninayosema? ni kwa kuwa hamwezi kuusikiliza ujumbe wangu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ألا تفهمون بعد ان كل ما يدخل الفم يمضي الى الجوف ويندفع الى المخرج.
je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutupwa nje chooni?
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
أحتى الآن لا تفهمون ولا تذكرون خمس خبزات الخمسة الآلاف وكم قفة اخذتم.
je, hamjaelewa bado? je, hamkumbuki nilipoimega ile mikate mitano kwa ajili ya wale watu elfu tano? je, mlijaza vikapu vingapi vya makombo?
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
قائلا اذهب الى هذا الشعب وقل ستسمعون سمعا ولا تفهمون وستنظرون نظرا ولا تبصرون.
akisema: nenda kwa watu hawa ukawaambie: kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
فقد تمت فيهم نبوة اشعياء القائلة تسمعون سمعا ولا تفهمون. ومبصرين تبصرون ولا تنظرون.
kwao yametimia yale aliyosema nabii isaya: kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
فقال لهم أفانتم ايضا هكذا غير فاهمين. أما تفهمون ان كل ما يدخل الانسان من خارج لا يقدر ان ينجسه.
naye akawaambia, "je, hata ninyi hamwelewi? je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia unajisi,
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
فقال لهم يسوع متى رفعتم ابن الانسان فحينئذ تفهمون اني انا هو ولست افعل شيئا من نفسي بل اتكلم بهذا كما علّمني ابي.
basi, yesu akawaambia, "mtakapokwisha mwinua mwana wa mtu hapo ndipo mtakapojua kwamba mimi ndimi, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema tu yale baba aliyonifundisha.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
فعلم يسوع وقال لهم لماذا تفكرون ان ليس عندكم خبز. ألا تشعرون بعد ولا تفهمون. أحتى الآن قلوبكم غليظة.
yesu alitambua hayo, akawaambia, "mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? je, mioyo yenu imeshupaa?
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
فبادر اليه فيلبس وسمعه يقرأ النبي اشعياء فقال ألعلك تفهم ما انت تقرأ.
filipo akakimbilia karibu na gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii isaya. hapo filipo akamwuliza, "je, unaelewa hayo unayosoma?"
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting