From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
i indeed have baptized you with water: but he shall baptize you with the holy ghost.
mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu."
and he said unto them, unto what then were ye baptized? and they said, unto john's baptism.
naye akasema, "sasa mlipata ubatizo wa namna gani?" wakamjibu, "ubatizo wa yohane."
and all the people that heard him, and the publicans, justified god, being baptized with the baptism of john.
waliposikia hayo watu wote na watoza ushuru waliusifu wema wa mungu; hao ndio wale waliokuwa wameupokea ubatizo wa yohane.
after these things came jesus and his disciples into the land of judaea; and there he tarried with them, and baptized.
baada ya hayo, yesu alifika mkoani yudea pamoja na wanafunzi wake. alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu.
now when all the people were baptized, it came to pass, that jesus also being baptized, and praying, the heaven was opened,
watu wote walipokuwa wamekwisha batizwa, yesu naye alibatizwa. na alipokuwa akisali, mbingu zilifunguka,
and he took them the same hour of the night, and washed their stripes; and was baptized, he and all his, straightway.
yule askari aliwachukua saa ileile ya usiku akawasafisha majeraha yao, kisha yeye na jamaa yake wakabatizwa papo hapo.
and there went out unto him all the land of judaea, and they of jerusalem, and were all baptized of him in the river of jordan, confessing their sins.
watu kutoka sehemu zote za yudea na wenyeji wote wa yerusalemu walimwendea, wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto yordani.
and crispus, the chief ruler of the synagogue, believed on the lord with all his house; and many of the corinthians hearing believed, and were baptized.
lakini krispo, mkuu wa sunagogi, alimwamini bwana yeye pamoja na jamaa yake yote. wakorintho wengi waliusikiliza ujumbe huo, wakaamini na kubatizwa.
but jesus said unto them, ye know not what ye ask: can ye drink of the cup that i drink of? and be baptized with the baptism that i am baptized with?
yesu akawaambia, "hamjui mnachoomba! je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa, au kubatizwa kama nitakavyobatizwa?"
and as they went on their way, they came unto a certain water: and the eunuch said, see, here is water; what doth hinder me to be baptized?
walipokuwa bado wanaendelea na safari walifika mahali penye maji na huyo ofisa akasema, "mahali hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia nisibatizwe?"
and they said unto him, we can. and jesus said unto them, ye shall indeed drink of the cup that i drink of; and with the baptism that i am baptized withal shall ye be baptized:
wakamjibu, "tunaweza." yesu akawaambia, "kikombe nitakachokunywa mtakinywa kweli, na mtabatizwa kama nitakavyobatizwa.