From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
but some of them said, he casteth out devils through beelzebub the chief of the devils.
lakini baadhi ya watu hao wakasema, "anamfukuza pepo kwa uwezo wa beelzebuli, mkuu wa pepo."
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
and if i by beelzebub cast out devils, by whom do your sons cast them out? therefore shall they be your judges.
kama ninafukuza pepo kwa uwezo wa beelzebuli, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? kwa sababu hiyo, wao ndio watakaowahukumu ninyi.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and if i by beelzebub cast out devils, by whom do your children cast them out? therefore they shall be your judges.
ninyi mnasema ati nawafukuza pepo kwa uwezo wa beelzebuli; je, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? kwa sababu hiyo wao ndio watakaowahukumu ninyi.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
if satan also be divided against himself, how shall his kingdom stand? because ye say that i cast out devils through beelzebub.
kama shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje? mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo wa beelzebuli?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
it is enough for the disciple that he be as his master, and the servant as his lord. if they have called the master of the house beelzebub, how much more shall they call them of his household?
yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. ikiwa wamemwita mkubwa wa jamaa beelzebuli, je hawatawaita watu wengine wa jamaa hiyo majina mabaya zaidi?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality: