From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
our compassionate lord alone is our support against your (blasphemous) utterances."
na mola wetu mlezi ni mwingi wa rehema, aombwaye msaada juu ya mnayo yazua.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
bangladesh: court orders shutting down of facebook pages for blasphemous contents · global voices
bangladesh: mahakama yaamuru kufungwa kwa kurasa za facebook kwa kukashifu dini
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
then they suborned men, which said, we have heard him speak blasphemous words against moses, and against god.
kwa hiyo waliwahonga watu kadhaa waseme: "tumemsikia stefano akisema maneno ya kumkashifu mose na kumkashifu mungu."
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yet they attribute to some of his servants a share with him (in his godhead)! truly is man a blasphemous ingrate avowed!
na wanamfanyia katika waja wake fungu. kwa hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila aliye dhaahiri.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
they swear by allah that they said nothing blasphemous whereas they indeed blasphemed, and fell into unbelief after believing, and also had evil designs which they could not carry into effect.
wanaapa kwa mwenyezi mungu kuwa hawakusema; nao wamekwisha sema neno la ukafiri, na wakakufuru baada ya kusilimu kwao.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
whenever we let man taste mercy from us, he rejoices in it; but when misfortune befalls them, as a consequence of what their hands have perpetrated, man turns blasphemous.
na hakika sisi tukimwonjesha mtu rehema kutoka kwetu, huifurahia. na akisibiwa na ovu kwa sababu ya iliyo yatanguliza mikono yao, basi hakika mtu huyu anakufuru.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
on 6th of april hifazat-e islam arranged a rally to demand action against ‘atheists and blasphemous bloggers’ of the shahbagh’s ganajagaran mancha.
mnamo tarehe 6 aprili, chama cha kiislam cha hifazat-e islam kiliitisha maandamano ya kudai kuchukuliwa hatua dhidi ya ‘wanablogu wasioamini mungu pamoja na waliokashifu dini’ wa ganajagaran mancha ya shahbagh.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
members of hifazat-e islam, a radical islamist party in bangladesh, attacked female journalists on assignment as the group marched in the country's capital to demand strict islamic law, including a ban on free mixing of the sexes and punishment of "atheists and blasphemous bloggers".
wanachama wa kikundi cha kiislamu nchini bangladesh hifazat-e islam, waliwashambulia waandishi habari wanawake wakati walipokuwa wakifanya matembezi ya umbali mrefu katika mji mkuu dhaka kushinikiza sheria kali za kiislam , ikiwa ni pamoja na kuzuia watu wa jinsia tofauti kuchanganyikana pamoja na kupinga adhabu ya “wanablogu waliodaiwa kuonesha kutoamini uwepo wa mungu na kukashifu dini”.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting