From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
dead men tell no tales
maji ya kimwagika hayazoleki
Last Update: 2023-08-07
Usage Frequency: 1
Quality:
and he charged them that they should tell no man of him.
kisha yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and he straitly charged them, and commanded them to tell no man that thing;
halafu yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
then charged he his disciples that they should tell no man that he was jesus the christ.
kisha akawaonya wanafunzi wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye kristo.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and her parents were astonished: but he charged them that they should tell no man what was done.
wazazi wake walishangaa, lakini yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote hayo yaliyotendeka.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
so the chief captain then let the young man depart, and charged him, see thou tell no man that thou hast shewed these things to me.
mkuu wa jeshi alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba amemletea habari hizo.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and as they came down from the mountain, he charged them that they should tell no man what things they had seen, till the son of man were risen from the dead.
walipokuwa wakishuka mlimani, yesu aliwakataza wasimwambie mtu yeyote mambo waliyoyaona, mpaka mwana wa mtu atakapokuwa amefufuka kutoka wafu.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and he charged him to tell no man: but go, and shew thyself to the priest, and offer for thy cleansing, according as moses commanded, for a testimony unto them.
yesu akamwamuru: "usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na sheria ya mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona."
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
woe unto you, scribes and pharisees, hypocrites! for ye are like unto whited sepulchres, which indeed appear beautiful outward, but are within full of dead men's bones, and of all uncleanness.
"ole wenu walimu wa sheria na mafarisayo, wanafiki! mko kama makaburi yaliyopakwa chokaa ambayo kwa nje yanaonekana kuwa mazuri, lakini ndani yamejaa mifupa ya maiti na kila namna ya uchafu.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting