Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yet he desireth that i should give more.
kisha anatumai nimzidishie!
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
aye! man desireth that he may sin before him.
lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
whoso desireth power (should know that) all power belongeth to allah.
mwenye kutaka utukufu basi utukufu wote uko kwa mwenyezi mungu. kwake yeye hupanda neno zuri, na a'mali njema yeye huitukuza.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
aye! every one of them desireth that: he should be vouchsafed scrolls expanded.
ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
no man also having drunk old wine straightway desireth new: for he saith, the old is better.
wala hakuna mtu ambaye hutamani kunywa divai mpya baada ya kunywa ya zamani, kwani husema: ile ya zamani ni nzuri zaidi."
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
nay, but everyone of them desireth that he should be given open pages (from allah).
ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
allah desireth not to provide for them a portion in the hereafter; and theirs shall be a torment mighty.
mwenyezi mungu anataka asiwawekee sehemu yoyote katika akhera, na yao wao adhabu kubwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
or else, while the other is yet a great way off, he sendeth an ambassage, and desireth conditions of peace.
kama anaona hataweza, atawatuma wajumbe kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali mbali.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
allah only desireth to take away uncleanness from you, people of the house-hold, and to purify you with a thorough purification.
hakika mwenyezi mungu anataka kukuondoleeni uchafu, enyi watu wa nyumba ya mtume, na kukusafisheni baarabara.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
whoso desireth the reward of the world, (let him know that) with allah is the reward of the world and the hereafter.
anaye taka malipo ya dunia, basi kwa mwenyezi mungu yapo malipo ya dunia na akhera.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and whosoever desireth the reward of the world, we vouchsafe unto him thereof. and whosoever desireth the reward of the hereafter, we vouchsafe unto him thereof.
na mwenye kutaka malipo ya duniani tutampa; na mwenye kutaka malipo ya akhera tutampa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
if allah afflicteth thee with some hurt, there is none who can remove it save him; and if he desireth good for thee, there is none who can repel his bounty.
na mwenyezi mungu akikugusisha madhara, basi hapana wa kukuondolea ila yeye. na akikutakia kheri, basi hapana awezaye kurudisha fadhila yake.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
whoso desireth the harvest of the hereafter, we give him increase in its harvest. and whoso desireth the harvest of the world, we give him thereof, and he hath no portion in the hereafter.
mwenye kutaka mavuno ya akhera tutamzidishia katika mavuno yake, na mwenye kutaka mavuno ya duniani tutampa katika hayo, lakini katika akhera hana fungu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
hast thou not observed those who assert that they believe in that which hath been sent down unto thee and that which hath been sent down before thee desiring to go to the devil for judgement, whereas they have been commanded to disbelieve in him; and satan desireth to lead them far astray.
huwaoni wale wanao dai kwamba wameamini yale yaliyo teremshwa kwako na yaliyo teremshwa kabla yako? wanataka wakahukumiwe kwa njia ya upotofu, na hali wameamrishwa wakatae hayo!
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and whoso desireth the hereafter and striveth for it with the effort necessary, being a believer; for such, their effort findeth favour (with their lord).
na anaye itaka akhera, na akazifanyia juhudi a'mali zake, naye ni muumini, basi hao juhudi yao itakuwa ni ya kushukuriwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
allah desireth for you ease; he desireth not hardship for you; and (he desireth) that ye should complete the period, and that ye should magnify allah for having guided you, and that peradventure ye may be thankful.
mwenyezi mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze mwenyezi mungu kwa kuwa amekuongoeni ili mpate kushukuru.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: