From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
that is grave disobedience.
na ni haramu kupiga ramli.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
an evil name is disobedience after belief.
ni uovu kutumia jina baya baada ya kwisha amini.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
thus did we try them because of their disobedience.
kwa namna hiyo tuliwajaribu kwa sababu walikuwa wakifanya upotovu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
if you return to disobedience we will also punish you again.
na mkirudia na sisi tutarudia.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and if you desist from disobedience, it is all the better for you.
na mkiacha itakuwa ndio kheri kwenu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
surely those who shun disobedience will dwell amidst gardens and running streams
hakika wachamngu watakuwa katika mabustani na mito.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
chastisement will befall those who reject our signs because of their disobedience.
na walio kanusha ishara zetu itawagusa adhabu kwa walivyo kuwa wakipotoka.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and having in a readiness to revenge all disobedience, when your obedience is fulfilled.
mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and those who deny our signs – the punishment will afflict them for their disobedience.
na walio kanusha ishara zetu itawagusa adhabu kwa walivyo kuwa wakipotoka.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
but those who deny our verses - the punishment will touch them for their defiant disobedience.
na walio kanusha ishara zetu itawagusa adhabu kwa walivyo kuwa wakipotoka.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
do you not see that we have appointed devils to incite those who deny the truth to disobedience?
kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and only those attain true success who obey allah and his messenger and fear allah and refrain from his disobedience.
na wenye kumt'ii mwenyezi mungu na mtume wake, na wakamwogopa mwenyezi mungu na wakamcha, basi hao ndio wenye kufuzu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and do not eat anything over which god's name has not been pronounced, for that surely is disobedience.
wala msile katika wale wasio somewa jina la mwenyezi mungu. kwani huo ni upotofu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and as for the boy, his parents were believers and we feared lest he should make disobedience and ingratitude to come upon them:
na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni waumini. tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
let no man deceive you with vain words: for because of these things cometh the wrath of god upon the children of disobedience.
msikubali kudanganywa na mtu kwa maneno matupu; maana, kwa sababu ya mambo kama hayo ghadhabu ya mungu huwajia wote wasiomtii.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
but allah has endeared faith to you and made it appealing in your hearts, and he has made hateful to you faithlessness, transgression and disobedience.
lakini mwenyezi mungu amekupendezeeni imani, na akaipamba katika nyoyo zenu, na amekufanyeni muuchukie ukafiri, na upotovu, na uasi.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
believers, when you talk in secret do not talk together in sin and hatred, and disobedience towards the messenger, but talk of piety and caution.
mnapo nong'ona msinong'one kwa sababu ya mambo ya madhambi, na uadui, na kumuasi mtume. bali nong'onezane kwa kutenda mema na kuacha maovu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and none can deny it except every transgressor beyond bounds, (in disbelief, oppression and disobedience of allah, the sinner!)
wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
believers, when you confer together in private, do not confer in support of sin and transgression and disobedience to the messenger, but confer for the promotion of virtue and righteousness.
mnapo nong'ona msinong'one kwa sababu ya mambo ya madhambi, na uadui, na kumuasi mtume. bali nong'onezane kwa kutenda mema na kuacha maovu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and when they forgot the advices they had been given, we rescued those who forbade evil, and seized the unjust with a dreadful punishment – the recompense of their disobedience.
basi walipo yasahau waliyo kumbushwa, tuliwaokoa walio kuwa wakikataza maovu, na tukawatesa walio dhulumu kwa adhabu mbaya kwa vile walivyo kuwa wakifanya upotovu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: