From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
we made it known to the israelites through the torah that they would twice commit evil in the land with great transgression and rebellion.
na tukawahukumia wana wa israili katika kitabu kwamba: hakika nyinyi mtafanya fisadi katika nchi mara mbili, na kwa yakini mtapanda kiburi, kiburi kikubwa.
they came to the pharaoh and told him that they were the messengerss of his lord and that they wanted him to let the israelites go with them and stop afflicting the israelites with torment.
basi mwendeeni, na mwambieni: hakika sisi ni mitume wa mola wako mlezi! basi waache wana wa israili watoke nasi, wala usiwaadhibu.
our messengers had come to them with clear authoritative evidence but many of them (israelites) thereafter started doing wrong in the land.
na hakika waliwajia mitume wetu na hoja zilizo wazi. kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.
then, when you [israelites] killed someone and started to blame one another, god brought to light what you concealed,
na mlipo muuwa mtu, kisha mkakhitalifiana kwayo, na mwenyezi mungu ni mwenye kuyatoa hayo mliyo kuwa mkiyaficha.
ask the israelites; moses came to them. the pharaoh said to him,"moses, i believe that you are bewitched".
waulize wana wa israili alipo wafikia, na firauni akawaambia: hakika mimi nakuona wewe musa umerogwa!
and we said to the israelites after him: dwell in the land: and when the promise of the next life shall come to pass, we will bring you both together in judgment.
na tukawaambia baada yake wana wa israili: kaeni katika nchi. itapo kuja ahadi ya akhera tutakuleteni nyote pamoja.