From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
"my power has perished from me!"...
madaraka yangu yamenipotea.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
there hath perished from me my authority.
madaraka yangu yamenipotea.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
the explosion resulted in 12 innocent lives being perished.
mlipuko huo ulipelekea watu 12 wasio na hatia kuuawa.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
and he on whom my anger descends, he is indeed perished.
na inaye mshukia ghadhabu yangu basi huyo ameangamia.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
then they also which are fallen asleep in christ are perished.
zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na kristo wamepotea kabisa.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
whereby the world that then was, being overflowed with water, perished:
na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
such are they whose works have perished in the world and the hereafter. such are they who are the losers.
hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika katika dunia na akhera; na hao ndio walio khasiri.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
as though they had never dwelt in them; now surely perdition overtook madyan as had perished samood.
kama kwamba hawakuwamo humo. zingatia walivyo angamia watu wa madyana, kama walivyo angamia watu wa thamud!
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
@beewol: r.i.p sports lovers who perished this day 2 years ago #werememberjuly11
@beewol: mungu azirehemu roho za wapenda kandanda waliopoteza maisha mahali miaka miwili iliyopita na ziweke mahali pema peponi #twakumbuka julai 11
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
and had there not been allah's grace upon you and his mercy, and that allah was tender and merciful, ye had perished.
na lau kuwa si fadhila ya mwenyezi mungu juu yenu na rehema yake, na kuwa hakika mwenyezi mungu ni mpole, mwenye kurehemu....
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
woe unto them! for they have gone in the way of cain, and ran greedily after the error of balaam for reward, and perished in the gainsaying of core.
ole wao! watu hao wamefuata mwenendo uleule wa kaini. kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa baalamu. wameasi kama kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
it is difficult to explain why these two wonderful human beings and professor awoonor and ms. adatia, and mbugua and wahito and all the other innocent souls who perished at westgate mall had to die.
ni vigumu kueleza kwa nini watu hawa wema ajabu kiasi hiki pamoja na profesa awoonor na bi. adatia, wakiwa na mbugua na wahito na roho zote zisizo na hatia zilizopotea katika shambulio la westgate.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
from the blood of abel unto the blood of zacharias, which perished between the altar and the temple: verily i say unto you, it shall be required of this generation.
tangu kumwagwa damu ya abeli mpaka kifo cha zakariya ambaye walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu. naam, hakika kizazi hiki kitaadhibiwa kwa matendo haya.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
after this man rose up judas of galilee in the days of the taxing, and drew away much people after him: he also perished; and all, even as many as obeyed him, were dispersed.
tena, baadaye, wakati ule wa kuhesabiwa watu, alitokea yuda wa galilaya. huyu naye, aliwavuta watu wakamfuata; lakini naye pia aliuawa, na wafuasi wake wakatawanyika.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and had ye trysted to meet one another ye surely would have failed to keep the tryst, but (it happened, as it did, without the forethought of either of you) that allah might conclude a thing that must be done; that he who perished (on that day) might perish by a clear proof (of his sovereignty) and he who survived might survive by a clear proof (of his sovereignty). lo!
na ingeli kuwa mmeagana mngeli khitalifiana katika miadi. lakini (mkakutana) ili mwenyezi mungu atimize jambo lilio kuwa lazima litendeke, kwa sababu aangamie wa kuangamia kwa dalili zilizo dhaahiri, na asalimike wa kusalimika kwa dalili zilizo dhaahiri.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: