From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
for it is evident that our lord sprang out of juda; of which tribe moses spake nothing concerning priesthood.
inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la yuda ambalo mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.
ye also, as lively stones, are built up a spiritual house, an holy priesthood, to offer up spiritual sacrifices, acceptable to god by jesus christ.
mwendeeni yeye kama mawe hai mkajengeke na kuwa nyumba ya kiroho, ambamo mtatumikia kama makuhani watakatifu, kutolea dhabihu za kiroho zenye kumpendeza mungu kwa njia ya yesu kristo.
but ye are a chosen generation, a royal priesthood, an holy nation, a peculiar people; that ye should shew forth the praises of him who hath called you out of darkness into his marvellous light:
lakini ninyi ni ukoo mteule, makuhani wa mfalme, taifa takatifu; watu wake mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu ya mungu aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu.
and verily they that are of the sons of levi, who receive the office of the priesthood, have a commandment to take tithes of the people according to the law, that is, of their brethren, though they come out of the loins of abraham:
tunajua vilevile kwamba kufuatana na sheria, wana wa lawi ambao ni makuhani, wanayo haki ya kuchukua sehemu ya kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa abrahamu.