Results for priesthood translation from English to Swahili

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

English

Swahili

Info

English

priesthood

Swahili

kuhani

Last Update: 2014-01-25
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

but this man, because he continueth ever, hath an unchangeable priesthood.

Swahili

lakini yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

for it is evident that our lord sprang out of juda; of which tribe moses spake nothing concerning priesthood.

Swahili

inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la yuda ambalo mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

ye also, as lively stones, are built up a spiritual house, an holy priesthood, to offer up spiritual sacrifices, acceptable to god by jesus christ.

Swahili

mwendeeni yeye kama mawe hai mkajengeke na kuwa nyumba ya kiroho, ambamo mtatumikia kama makuhani watakatifu, kutolea dhabihu za kiroho zenye kumpendeza mungu kwa njia ya yesu kristo.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

but ye are a chosen generation, a royal priesthood, an holy nation, a peculiar people; that ye should shew forth the praises of him who hath called you out of darkness into his marvellous light:

Swahili

lakini ninyi ni ukoo mteule, makuhani wa mfalme, taifa takatifu; watu wake mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu ya mungu aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

and verily they that are of the sons of levi, who receive the office of the priesthood, have a commandment to take tithes of the people according to the law, that is, of their brethren, though they come out of the loins of abraham:

Swahili

tunajua vilevile kwamba kufuatana na sheria, wana wa lawi ambao ni makuhani, wanayo haki ya kuchukua sehemu ya kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa abrahamu.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Get a better translation with
7,746,963,904 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK