From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
last week a leading private university in pakistan was forced to cancel an academic discussion on human rights in its southwestern province balochistan “due to state intervention“.
juma lililopita chuo kikuu maarufu cha binafsi nchini pakistani kililazimika kuahirisha mjadala wa kitaaluma kuhusu haki za binadamu kwenye jimbo la kusini magharibi la balochistan “kwa sababu ya kuingiliwa na serikali“.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
meanwhile, oxfam warned that 200,000 survivors in coastal areas are at risk of worsening poverty because the government plans to relocate them to safe settlements without adequate consideration as to how they will later earn a living.
wakati huo huo, oxfam ilionya kuwa waathirika 200,000 katika maeneo ya pwani wako katika hatari ya kuathirika zaidi na umasikini kwa sababu mipango ya serikali ya kuwahamishia kwenye makazi salama bila kuzingatia jinsi wataendesha maisha yao baadae.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Some human translations with low relevance have been hidden.
Show low-relevance results.