From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
so why now, al-shabaab?
kwa hiyo ni kwa nini wakati huo, al-shabaab?
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
it was a desperate, high-risk gamble by shabaab to reverse its prospects.
ilikuwa ni karata ya kukata tamaa, isiyo na uhakika iliyochezwa na al-shabaab kujaribu kurudi kwenye malengo yake.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
another twitter user compared the attackers to militants from the militant groups al shabaab and boko haram:
mtumiaji mwingine wa twitter aliwafananisha washambuliaji na wanamgambo wa vikundi vya al shabaab na boko haram:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
indeed, hours later, a youtube clip purporting to be by al-shabaab was posted online.
ni kweli, masaa kadhaa baadae, kipande cha video kwenye mtandao wa youtube kinachodaiwa kuwekwa na al-shabaab kiliwekwa mtandaoni.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
is going topless an effective strategy for reviving the kenyan tourism industry following attacks from militant group al shabaab?:
je, kutembea uchi yanaweza kuwa mbinu bora ya kufufua sekta ya utalii nchini kenya kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa al shabaab?:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
robert alai was also able to capture an image of the al-shabaab alleged twitter page before it was taken down:
robert alai aliweza kupata picha ya ukurasa huo unaodaiwa kumilikiwa na al-shabaab kabla haujaondolewa:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
but soon, a twitter handle believed to be controlled by al-shabaab, a somali islamist group, claimed responsibility for the attack.
lakini baadae, anuani ya twita inayoaminiwa kuendeshwa na al-shabaab, kikundi cha kiislam cha kisomali, kilidai kuhsuika na shambulio hilo.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
while kenya’s current approach to al-shabaab has garnered some successes, it has created tension in somalia and left unaddressed shortcomings at home.
wakati mbinu za sasa za kenya kuwadhibiti al-shabaab zimekuwa na mafanikio kadhaa, hata hivyo zimesababisha hali ya tahayaruki kwa wa-somali na zimeacha mapungufu mengi yasiyoshughulikiwa huko nyumbani.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
@iamneshynsky: people should stop jumping into conclusion and say its an al shabaab atack..it could be anything at this point #nairobiblast
@iamneshynsky: watu wasikimbilie kufanya mahitimisho na kuhisi ni shambulio la al shabaab...chochote kinawezekana katika tukio hilo #nairobiblast
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
the simultaneous attacks on our lady of consolation cathedral and the protestant africa inland church in the northern town of garissa were the most recent in a series of incidents since kenyan troops were sent into somalia in october to crush al-shabaab militants.
mashambulizi hayo yaliyotokea muda ule ule kwenye kanisa la our lady of consolation na katika kanisa la protestant africa inland church katika mji wa kaskazini wa garissa yanakuwa matukio ya hivi karibuni zaidi katika matukio kadhaa tangu wanajeshi wa kenya walipopelekwa nchini somalia mwezi oktoba kuwaangamiza wapiganaji wa al-shaabab.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
if the deadly attack succeeds in prompting vigilante violence by kenyan citizens or heavy-handed government reactions against somali residents, shabaab stands a chance of recasting itself as the vanguard militia protecting somalis against external enemies.
kama shambulio hilo baya litafanikiwa kuibua vurugu baina ya raia wa kenya au hatua nzito za serikali dhidi ya wa-somali, basi al-shabaab itakuwa na nafasi ya kujitengenezea picha ya kikundi cha kijeshi kinachowalinda wa-somali na maadui wa nje.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
additionally, they pointed out, a lack of a long-term strategic plan on how to combat terrorism by kenya may explain al-shabaab's continued potency:
kwa nyongeza, walibainisha kuwa, kutokuwepo kwa mpango mkakati wa muda mrefu wa namna ya kupambana na ugaidi nchini kenya unaweza kueleza sababu ya kuendelea kwa nguvu ya al-shabaab:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
@mmnjug @qulshtm interesting, though my analysis is that al-shabaab is metamorphosing into a regional terror group, not declining. — charles onyango-obbo (@cobbo3) september 22, 2013
@mmnjug @qulshtm inafikirisha, ingawa nionavyo mimi ni kwaba al-shabaab inapanuka na kuwa kikundi cha kigaidi katika eneo hili la afrika, na wala sio kusambaratika. — charles onyango-obbo (@cobbo3) septemba 22, 2013
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality: