From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
a ministry press release stated:
wizara hiyo ilitoa taarifa kwa vyombo vya habari iliyosema:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
but he defers them until a stated time.
lakini yeye anawachukulia mpaka ufike muda maalumu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
at the time, the presidential palace stated simply:
wakati huo, ikulu ya rais ilieleza kirahisi:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
the prayer is enjoined upon the believers at stated times.
kwani hakika sala kwa waumini ni faradhi iliyo wekewa nyakati maalumu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
the us embassy in khartoum twitter account stated today:
anuani ya mtandao wa twita ya ubalozi wa marekani mjini khartoum leo imetoa tamko:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
scaf has stated that accusations of rigging the elections were a slander.
baraza limesema kwamba tuhuma za kuvuruga uchaguzi ni uongo mtupu.
Last Update: 2023-08-28
Usage Frequency: 1
Quality:
likewise, investigator, consultant and columnist olaya dotel, stated:
hali kadhalika, mpelelezi, mtaalamu-mshauri na mwandishi wa makala, olaya dotel, alisema:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
that he subjected the sun and the moon, each running for a stated term?
vyote hivyo vinakwenda mpaka wakati ulio wekwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and he will forgive you of your sins, and reprieve you until a stated term.
atakughufirieni madhambi yenu, na atakuakhirisheni mpaka muda ulio wekwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
the reason why a nobel prize must be presented to malala is stated here:
sababu kwa nini zawadi ya nobel itunukiwe kwa malala imeelezwa waziwazi:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
a blog entry posted on president atta mills’ official campaign site stated:
ingizo jipya la makala kwenye blogu rasmi ya kampeni ya rais atta mills lilisema:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
and but for a word that preceded from thy lord, and a stated term, it had been fastened.
na lau kuwa si neno lililo kwisha tangulia kutoka kwa mola wako mlezi na muda ulio wekwa, bila ya shaka inge fika adhabu (hapa hapa).
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
he calls you to forgive you your sins, and to defer you until a stated term.”
yeye anakuiteni apate kukufutieni madhambi yenu, na akupeni muhula mpaka muda ulio wekwa. wakasema: nyinyi si chochote ila ni wanaadamu kama sisi.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
at the end of the statement mentioned at the beginning of this article, the bahrain news agency stated:
mwisho wa maelezo yaliyotajwa mwanzoni mwa makala hii, wakala wa habari wa bahrain alieleza:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
he will provide you with good sustenance until a stated term, and will bestow his grace on every possessor of virtue.
atakustarehesheni starehe nzuri mpaka muda maalumu. na atampa kila mwenye fadhila, fadhila yake.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
he it is who has created you from clay, and then has decreed a stated term (for you to die).
yeye ndiye aliye kuumbeni kwa udongo, kisha akakuhukumieni ajali, na muda maalumu uko kwake tu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and if we postponed their punishment until a stated time, they would say, “what holds it back?”
na tukiwacheleweshea adhabu mpaka muda ulio kwisha hisabiwa wao husema: nini kinacho izuia hiyo adhabu? jueni!
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and if we hold back from them the punishment until a stated period of time, they will certainly say: what prevents it?
na tukiwacheleweshea adhabu mpaka muda ulio kwisha hisabiwa wao husema: nini kinacho izuia hiyo adhabu? jueni!
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
a spokesman of the committee, lieutenant kanoré stated that although they have dissolved the current institutions, they have no intention of holding on to power.
msemaji wa kamati hiyo, lieutenant kanoré alisema kwamba ingawa wamesimamisha katiba na kuvunja taasisi zilizopo, hawana kusudio la kung’ang’ania madaraka.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
believers, when you contract a debt for a stated term, put it down in writing; have a scribe write it down with fairness between you.
mnapo kopeshana deni kwa muda ulio wekwa, basi andikeni. na mwandishi aandike baina yenu kwa uadilifu, wala mwandishi asikatae kuandika.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: